Mnyang'anyi
Member
- Jul 10, 2011
- 72
- 51
Kuna watoto vichwa vyao ni vigumu wanalazimishwa kukariri physics, biology, geography wakati wangetumia huo muda kupiga danadana, kuogelea au kufanya mazoezi ya kukimbia basi tungekuwa mbali kimichezo. na Zama naye nembo yake ingepaa kimataifa.
bitimkongwe
labda hukunielewa
namheshimu na kumkubali bakhresa lakini
ninaposema biashara kizamani
namaanisha je azam inaendeshwa kisasa kama mfano
vodacom au benki za stanbinc na kadhalika???????
Wanauza share labda dse?
Je mtu kuwa ceo wa azam lazima awe mtoto wa bakhresa?????
Tazama makampuni mfano nmb hata wewe ukiwa na sifa utaweza kuwa ceo.....
Watoto hata kama wana master na wamesoma nje...
Je wako competent??????hakuna wengine wenye uwezo zaidi?????????
ila huku kenya cjawahi ona bidhaa zake mkuu au labda vipo kwenye baadhi ya miji,,The Guy is Rich, very RICH, nyinyi mnapeleka watotowenu kusoma kenya yeye watoto wake walisha maliza huko. madalasa yapo ya kutosha tu kwa watoto wake na ndio wameshika mipini I like the Guy sababu ameinvest kwa watoto na anakamata soko lote huwezi kuishi bongo bila kumchangia. Ameinvest sio bongo tu kenya, rwanda drc nk nk. Nilikuwa namchukia sababu ya kuajili wakenya wengi kuliko wabongo but now i admire and understand him
kuna shule au hospitali/dispensary amejenga mahali popote tanzania ? Au tuseme ni mradi gani wa kijamii aliowahi kuendesha au anaendesha?
Hujajibu swali. Kama unafahamu mradi wowote wa kijamii alioutekeleza tuambie sijasema yeye atuambie.ukitoa msaada sio mpaka ujitangaze.ye hatoi msaada kwa kutaka sifa ndomana humsikii sana
Kuna shule au hospitali/dispensary amejenga mahali popote Tanzania ? Au tuseme ni mradi gani wa kijamii aliowahi kuendesha au anaendesha?
Nilimuon azamani kidogo kwenye mazishi ya Mzee mmoja Ki Yemen.Sijui kama thread kama hii ilishawai anzishwa hapa j.f,
but i am curious to know who is s.s.bakhresa.
Najua ni nadra sana kwa nchi yoyote kuwa na mtu ambaye ni tycoon na such a biggest business man kama bakhresa
lakini hajawahi kuonekana hata sehemu moja kwenye shughuli za kijamii.
Sijawahi kumsikia akizungumza mahali, wala kuonekana picha yake mahali popote zaidi ya passport yake kwenye website yake na
picha moja kwenye mazishi ya mwanae Khalid.
Tofauti na ilivyo kwa wafanyabiashara wengine hata wale wa asili yake kama akina dewji, rostam, manji etc.
Na pia sifurahishwi na huyu jamaa kuwa producer wa kila kitu hapa tanzania, yaani mpaka chapati na nyanya,
je mamlaka zinazohusika hazina uwezo wa kuainisha hili??
Leo hii akitawala soko la chapati, nyanya, na mpaka nazi zote yeye, je hi sio hatari kwa kina mama wauza chapati?
Na wale wenye magenge ya nyanya na nazi si watafunga magenge yao??
Ni mtazamo tu wana j.f, kama una la kuongeza weka hadharani isije kuwa ni gaidi kama Osama bin Laden.
Kwa mujibu wa mafundisho ya waislamu HALAL ni vile vyote vilivyoruhusiwa(sio lazima iwe vyakula), HARAM ni vile vyote vilivyokatazwa. Ukibandika label ya HALAL kwenye bidhaa maana yake unamuondoa mashaka yule ambaye hana uhakika na u-HALAL wa kile anachokusudia kukinunua kwa mujibu wa imani ya dini yake, lakini haina maana kwamba vile vyote visivyokuwa na lable ya HALAL basi ni HARAM, vingine HARAM na vingine si HARAM.Kuna mtu leo kaniletea juice ya Azam, ile ya ujazo wa karibu litre moja. Nimeona juu pembeni mwa mfuniko pameandikwa HALAL na maandishi madogo ya kiarabu chini yake. Inamaanisha nini? Kwa mwingiliano wa lugha nimehisi wanamaanisha kwamba iko poa kwa kuliwa na nyingine zisizo na label hiyo bila shaka si HALAL.