Elections 2010 Who is who in the Public Opinion (General Elections, Tanzania)

Elections 2010 Who is who in the Public Opinion (General Elections, Tanzania)

Sophist

Platinum Member
Joined
Mar 26, 2009
Posts
4,486
Reaction score
3,408
Please, kuna anayejua matokeo ya Kura ya Maoni yanayotarajiwa kutolewa hivi karibuni na Kampuni ya Snovate (zamani Steadman)? Nani anaongoza kura hii ya maoni baina ya wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kura ya maoni iliendeshwa kati ya September 3-11. CCM wameishajua kilichomo na wameanza mkakati kukabili matokeo yeneywe, kwa upande mmoja, na madhara ya matokeo hayo kwa upande mweingine.
Mwenye taarifa azirushe humu ndani.
 
Please, kuna anayejua matokeo ya Kura ya Maoni yanayotarajiwa kutolewa hivi karibuni na Kampuni ya Snovate (zamani Steadman)? Nani anaongoza kura hii ya maoni baina ya wagombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kura ya maoni iliendeshwa kati ya September 3-11. CCM wameishajua kilichomo na wameanza mkakati kukabili matokeo yeneywe, kwa upande mmoja, na madhara ya matokeo hayo kwa upande mweingine.
Mwenye taarifa azirushe humu ndani.
Kuna moja imerushwa na member mpya sasa hivi(ni ya usalama wa taifa!)...inataka moyo kuiamini, lakini huenda ina ujumbe ndani!
 
The guardian on sunday wanasema 85% ya waliohojiwa wanasupport ccm na chadema na kuna difference ya 3% between ya two parties lakini who is leeding between the two is not known, may be chadema ndio maana hawajatoa matokeo
 
Chadema 44% CCM 41% Jumla 85%

Soma post ya mzizimkavu
 
The guardian on sunday wanasema 85% ya waliohojiwa wanasupport ccm na chadema na kuna difference ya 3% between ya two parties lakini who is leeding between the two is not known, may be chadema ndio maana hawajatoa matokeo

Shame on the Guardian. They should have the courage to call a spade a spade.

Be that as it may, but the use by date for CCM passed a long time ago. No amount of fearful reporting by the Guardian will buy more time for CCM. Wamehodhi madaraka bila kuleta maendeleo muda mwingi ya kutosha. Tumewachoka sana! Wametunyonya vya kutosha. Sasa tunataka mabadiliko.
 
Back
Top Bottom