Umejuaje?Deni Ni ya $33million na Ndege ni ya $90million SI muuze Ndege mlipe deni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichaa huyoUmejuaje?
Deni na Ardhi mliyodhulumiwa na wazungu, kipi zaidi?.
Uliza wenzako walio na akili kukuliko.Umejuaje?
Ardhi mumewapa wazungu, chakula mnategemea Tanzania, stupid.
Nilikuuliza kwa Uzi mwingine unipe ushahidi kuwa wanafunzi wa Kenya wanasomea mashule ya Tz ukahepa uziπππArdhi mumewapa wazungu, chakula mnategemea Tanzania, stupid.