Who Killed Col. John Garang?

Muite Dr. John Garang.... Southern Sudan waliamini huyo ndio angekua mkombozi wao katika usimamizi wa rasilimali zao!

ndo maana wapenda mafuta wakaamua kupita nae fasta kabla hajasababisha damage zaidi nn ......
 

Ukweli ndiyo huo wewe soma hii habari ya mtikilia ndiyo utajua, lakini Mseveni na Kagame kwenda ICC itachukua muda sana maana wanatumwa na mataifa yenye ushawishi na hiyo ICCKatunews: Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 nchini
 
Muite Dr. John Garang.... Southern Sudan waliamini huyo ndio angekua mkombozi wao katika usimamizi wa rasilimali zao!

he he he he he he jamaa alikuwa hardliner ile mbaya na kwenye ishu ya mafuta angekuwa mwiba mchungu kwa mabepari aisee......
 
he he he he he he jamaa alikuwa hardliner ile mbaya na kwenye ishu ya mafuta angekuwa mwiba mchungu kwa mabepari aisee......

Jamaa angeweza kusimamia vema rasilimali zao kwa faida ya watu wake wote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…