WHO kutoa chanjo bilioni 1 kwa ajili ya nchi za kipato cha chini na cha kati

WHO kutoa chanjo bilioni 1 kwa ajili ya nchi za kipato cha chini na cha kati

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesema kuwa wamepata chanjo bilioni 1 kwa ajili ya nchi za kipato cha chini na cha kati.

Ghebreyesus alifanya mkutano na waandishi wa habari katika makao makuu ya WHO huko Geneva, Uswizi, akitumia njia ya video.

Akisisitiza kuwa wanakabiliwa na pengo la dharura la ufadhili wa dola bilioni 4.3 kusambaza chanjo kwa nchi zinazohitaji sana, Ghebreyesus alitoa wito kwa jamii ya kimataifa na wafadhili kuzisaidia "kupata chanjo, kuokoa maisha na kuboresha uchumi wa dunia haraka iwezekanavyo.

Akisema kuwa nchi 189 zimeshiriki katika Programu ya Upataji Chanjo ya Covid-19 (COVAX), ambayo hufanywa kwa uratibu na WHO, Ghebreyesus amesema kuwa wamepata kipimo cha bilioni 1 cha chanjo ya Covid-19 kwa nchi zenye kipato cha chini na cha kati kutoka kwa wagombeaji wa kutengeneza chanjo watatu chini ya mpango huo.

Ghebreyesus, ambaye hakutaja majina ya wagombeaji wa chanjo, alisema kuwa wanaendelea kujadiliana na watengenezaji tofauti wa chanjo kwa chanjo zaidi za Covid-19.

Ghebreyesus alionyesha kuridhika kwake kwamba hatua za chanjo ya Kovid-19 zinakaribia kumalizika.

"Mwanga mwishoni mwa handaki unazidi kung'aa, lakini tunapaswa kukabili changamoto kadhaa ili kuifanya nuru iwe nuru kweli."

Ghebreyesus alisema kuwa idadi ya vifo vya kila wiki ulimwenguni imeongezeka kwa asilimia 60 katika wiki 6 zilizopita kutokana na janga hilo.

Ghebreyesus alibainisha kuwa visa na vifo vingi vinatokea Ulaya na Amerika.
 
Hakuna haja ya kuharakisha kuchanja.
 
WANATAKA WAUWE WATU, MAREKANI KUNA WATU 100 AMBAO WALILIPWA ILI KUJITOLEA KUTUMIA CHANJO YA CORONA AMBAO HAPO MWANZO HAWAKUA NA MARADHI HAYO, KWA TAARIFA ZA SIRI INASADIKIWA WOTE 100 WALIOPIGWA CHANJO HIO WAMESHAKUFA, PIA ITALY WALIOPIGWA CHANJO HIO YA KUJITOLEA WANAKUFA, WAAFRICA TUSIKUBALI KUPIGWA CHANJO HIZO WAMEONA HATUKUFA KWA MARADHI WANATAKA WATUUWE KWA CHANJO AMABAZO NI KAMA SUMU YA NYOKA
 
Hii taarifa ya kufa watu 100 waliolipwa kujitolea inafichwa na kwenye google waliiondoa haraka baada ya baadhi ya vyombo vya habari kutoa siri,

Huku London watu wanaandamana kupinga chanjo hio na wanasema kwanza waijaribu kwenye matako ya wabunge ambao wamepitisha mswaada huo
 
WANATAKA WAUWE WATU, MAREKANI KUNA WATU 100 AMBAO WALILIPWA ILI KUJITOLEA KUTUMIA CHANJO YA CORONA AMBAO HAPO MWANZO HAWAKUA NA MARADHI HAYO, KWA TAARIFA ZA SIRI INASADIKIWA WOTE 100 WALIOPIGWA CHANJO HIO WAMESHAKUFA, PIA ITALY WALIOPIGWA CHANJO HIO YA KUJITOLEA WANAKUFA, WAAFRICA TUSIKUBALI KUPIGWA CHANJO HIZO WAMEONA HATUKUFA KWA MARADHI WANATAKA WATUUWE KWA CHANJO AMABAZO NI KAMA SUMU YA NYOKA
Bogus extremist views that the author can't substantiate.
 
Mbona chanjo zenyewe tayari zishapandikizwa HIV / AIDS inasemekana...




Cc: mahondaw


Cha kujiuliza hapa, kwa nini Bill Gates na mkewe wanavalia njuga suala la chanjo barani Africa kuliko kwao na Ulaya - kuna ajenda gani ya siri kama siyo ya kupunguza population ya watu weusi ambayo Bill Gates aliwahi kuilalamikia miaka ya nyuma akiwa kwenye kongamano ya baadhi ya mabillionea wenye akili fyatu kama yeye.

Bill Gates si mtu mwema hata kidogo,yuko radhi kufanya lolote ili kulazimisha agenda yake ya muda, hata kama ni kununua baadhi ya viongozi wa Afrika ili atekeleze malengo yake - anafanya tu, jamaa huyu ni jeuri sana na hakati tamaa hata umuseme vipi!

Miaka miwili iliyo pita wataalamu wa tiba huko Malyasia waligunduwa kwamba kumbe chanjo za Bill Gates zilizo kuwa na lengo la kuzuia kansa ya kizazi kwa wasichana kumbe ilikuwa imeongezewa kirutubisho cha kuwafanya wanawake/wasichana wanapo tunga mimba inaharibika, nimesahau jina la kirutubisho hicho kilicho ongezewa kwenye chanjo ya kansa ya kizazi, sina uhakika kama Wizara yetu ya afya iliwahi kufutilia ukweli huo kwa karibu ili kusitisha chanjo hiyo kwa wanafunzi wa kike mara moja ili kulinda afya zao za via vya uzazi siku za usoni.

Bill Gates aliwahi kusambaza chanjo za polio huko India, baadae ikija gundurika kwamba badala ya chanjo ku-innoculate watu/watoto iliwafanya wengi wao kupooza, no one knows long term ya madhala ya chanjo hizo za polio itakuwaje kwa wale walio wahi chanjwa - chanjo hiyo ya Polio ilikuja sitishwa na Serikali ya India ili kulinda afya za raia wake, walitaka kumfungulia mashtaka Bill Gates sijui ilishia vipi.

Niliwahi kusoma chapisho fulani Bill Gates akitamba kwamba kuna baadhi ya Nchi za Afrika wamekwisha kubaliana na Bill Gates kwamba watanunua/pewa chanjo zake - alizitaja Nchi hizo kwamba ni: Afrika kusini, Kenya, Nigeria na Namibia kama sikosei - basi watu wenye akili walijua Nchi hizo zimekwisha kuwa compromised na tajiri huyo - juzi hapa niliona Kenya inasema itapata chanjo kutoka Uchina sijui Kenyatta kashtuka nini, hata mimi nashauri Serikali yetu ipate chanjo kutoka Uchina au Urusi, mataifa ambayo tuna uhakika hayana agenda yoyote ya siri ya kupunguza population ya Dunia ya tatu specifically Afrika - narudia kukumbusha kwamba Bill Gates na vichaa wenzake wanasema/amini kwamba World population hisipokuwa scaled down (punguzwa) mwisho wa siku Dunia itapungukiwa kwa kiwango kikubwa resources za ku-sustain population explosion itakayo sababishwa na kuzaliana ovyo kwa nchi masikini specifically Afrika, hivyo Bill Gates na wenzake wanajiona wana wajibu wa kushighulikia suala hili kabla hawaja chelewa i.e before its too late.
 
Cha kujiuliza hapa, kwa nini Bill Gates na mkewe wanavalia njuga suala la chanjo barani Africa kuliko kwao na Ulaya - kuna ajenda gani ya siri kama siyo ya kupunguza population ya watu weuzi ambayo Bill Gates aliwahi kuilalamikia miaka ya nyuma akiwa kwenye kongamano ya baadhi ya mabillionea wenye akili fyatu kama yeye - Bill Gates si mtu mwema hata kidogo,yuko radhi kufanya lolote ili kulazimisha agenda yake ya muda hata kama ni kununua baadhi ya viongozi wa Afrika ili atekeleze malengo yake - anafanya tu, jamaa huyu ni jeuri sana na hakati tamaa hata umuseme vipi!

Miaka miwili iliyo pita wataalamu wa tiba huko Malyasia waligunduwa kwamba kumbe chanjo za Bill Gates zilizo kuwa na lengo la kuzuia kansa ya kizazi kwa wasichana kumbe ilikuwa ineongezewa kirutubisha cha kuwafanya wanawake/wasichana wanapo tunga mimba inaharibika nimesahau jina la kirutubisho hicho, sina uhakika kama wizara yetu ya afya imefutilia ukweli huo kwa karibu ili kusitisha chanjo hiyo kwa wanafunzi wa kike ili kulinda afya zao za via vya uzazi siku za usoni, Bill Gates aliwahi kusambaza chanjo za polio huko India badala ya chanjo ku-innoculate watu/watoto ikawafanya wengi wao kupooza, no one knows long term ya madhala ya chanjo hizo za polio itakuwaje kwa wale walio chanjwa - chanjo hiyo ya Polio ilikuja sitishwa nchini India.

Niliwahi kusoma chapisho fulani Bill Gates akitamba kwamba kuna baadhi ya Nchi za Afrika wamekwisha kubaliana na Bill Gates kwamba watanunua/pewa chanjo zake - alizitaja Nchi hizo kwamba ni: Afrika kusini, Kenya, Nigeria na Namibia kama sikosei - basi watu wenye akili walijua Nchi hizo zimekwisha kuwa compromised na tajiri huyo - juzi hapa niliona Kenya inasema itapata chanjo kutoka Uchina sijui Kenyatta kashtuka nini, hata mimi nashauri Serikali yetu ipate chanjo kutoka Uchina au Urusi mataifa hayo hayana agenda yoyote ya siri ya kupunguza population ya Dunia ya tatu specifically Afrika - narudia kukumbusha kwamba Bill Gates na vichaa wenzake wanasema/amini kwamba World population hisipokuwa scaled down (punguzwa) mwisho wa siku Dunia itapungukiwa kwa kiwango kikubwa resources za ku-sustain population explosion itakayo sababishwa na kuzaliana ovyo kwa nchi masikini specifically Afrika hivyo Bill Gates na wenzake wanajiona wana wajibu wa kushighulikia suala hili kabla hawaja chelewa i.e before its too late.
NWO...



Cc: mahondaw
 
Naamini Magufuli atakuwa wa mwisho kusaini hiyo chonjo..
 
Gates amesema kuwa watoto wake hawatachanjwa, ila anatoa fedha ili sisi tuchanjwe🤯🤯😷😷
IMG-20201211-WA0023.jpg
 
Back
Top Bottom