WHO: Mlipuko wa Ugonjwa wa Mpox ni janga la Kiafya la Kimataifa

WHO: Mlipuko wa Ugonjwa wa Mpox ni janga la Kiafya la Kimataifa

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
378
Reaction score
766
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani la Umoja wa Mataifa (WHO),Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema kuwa Mlipuko wa Mpox si janga la Afrika pekee bali ni la kimataifa katika mkutano wa kamati ya dharura ya shirika hilo Agosti 14, 2024.

Kwa mara ya pili tangu mwaka 2022, ugonjwa umetangazwa kuwa janga la Kimataifa na umezidi kuenea kwa kasi huku zaidi ya kesi 100 zikiripotiwa katika nchini mbalimbali Afrika ikiwemo DRC, Uganda, Kenya, Burundi na Rwanda kwa mwezi uliopita

Fahamu zaidi kuhusu Ugonjwa huo:

Mpox ni maambukizi ya virusi vya monkeypox vinavyoathiri binadamu na wanyama na husababisha malengelenge an vipele kwenye ngozi

Ugonjwa huu husambaa kwa njia ya kugusana,njia ya hewa pamoja na kushiriki tendo la ndoa au kuvaa nguo za mgonjwa wa mpox.

Dalili za mpox ni homa, maumivu ya kichwa na misuli, pamoja na vipele vipele mwilini. Kumbuka kunawa mikono kwa maji ya vuguvugu na sabuni au kutumia kitakasa mikono, na kuepuka maeneo yenye misongamano.

===========For English Audience=============
WHO Director-General Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus has determined that the upsurge of mpox in the Democratic Republic of the Congo (DRC) and a growing number of countries in Africa constitutes a public health emergency of international concern (PHEIC) under the International Health Regulations (2005) (IHR).

Dr Tedros’s declaration came on the advice of an IHR Emergency Committee of independent experts who met earlier in the day to review data presented by experts from WHO and affected countries. The Committee informed the Director-General that it considers the upsurge of mpox to be a PHEIC, with potential to spread further across countries in Africa and possibly outside the continent.

The Director-General will share the report of the Committee’s meeting and, based on the advice of the Committee, issue temporary recommendations to countries.

In declaring the PHEIC, Dr Tedros said, "The emergence of a new clade of mpox, its rapid spread in eastern DRC, and the reporting of cases in several neighbouring countries are very worrying. On top of outbreaks of other mpox clades in DRC and other countries in Africa, it’s clear that a coordinated international response is needed to stop these outbreaks and save lives.”

WHO Regional Director for Africa Dr Matshidiso Moeti said, “Significant efforts are already underway in close collaboration with communities and governments, with our country teams working on the frontlines to help reinforce measures to curb mpox. With the growing spread of the virus, we’re scaling up further through coordinated international action to support countries bring the outbreaks to an end.”

Committee Chair Professor Dimie Ogoina said, “The current upsurge of mpox in parts of Africa, along with the spread of a new sexually transmissible strain of the monkeypox virus, is an emergency, not only for Africa, but for the entire globe. Mpox, originating in Africa, was neglected there, and later caused a global outbreak in 2022. It is time to act decisively to prevent history from repeating itself."

This PHEIC determination is the second in two years relating to mpox. Caused by an Orthopoxvirus, mpox was first detected in humans in 1970, in the DRC. The disease is considered endemic to countries in central and west Africa.

In July 2022, the multi-country outbreak of mpox was declared a PHEIC as it spread rapidly via sexual contact across a range of countries where the virus had not been seen before. That PHEIC was declared over in May 2023 after there had been a sustained decline in global cases.

Mpox has been reported in the DRC for more than a decade, and the number of cases reported each year has increased steadily over that period. Last year, reported cases increased significantly, and already the number of cases reported so far this year has exceeded last year’s total, with more than 15 600 cases and 537 deaths.

SOURCE: WHO
 
Wameleta Corona saizi wanaleta Nini sijui nasema hivi wameshindwa kwa jina la Yesu
 
Kwa nini ni surd kivu na nord kivu tuu au ni BIOLOGICAL WEAPON THREAT kwa OFFENSIVE FORCES AGAINST TUTSI AND RDF MILLITANTS
 
Back
Top Bottom