donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Straight to the point,
Vile back in days trap music inaanza kuingia bongo wakaibuka watu kama Cyril kamikaze wakafanya Ngoma. Mara soon akaibuka Gosby naye akafanya yake RAIA tukamu-appreciate, all these cats kuna times wakawa kimya na trap music was like vanished in the thin air. Couple years later anakuja dogo wakujiita country weezy country boy akaanza kuirudisha trap kwa map. So far wengi wanaofanya trap hawakusimama kiviile walitoa track mbili tatu then wakatoweka. Mara ghafla wakajitokeza watoto hawa wakuitwa OMG ambapo humo kuna mtoto anayejiita young lunya ambaye anaclaim title ya king of trap (funny thing anamconsider country weezy kama guru wake kwa game). So the question is,
Currently nani vile yuko anaown hii game ya trap kwa TZ?
Vile back in days trap music inaanza kuingia bongo wakaibuka watu kama Cyril kamikaze wakafanya Ngoma. Mara soon akaibuka Gosby naye akafanya yake RAIA tukamu-appreciate, all these cats kuna times wakawa kimya na trap music was like vanished in the thin air. Couple years later anakuja dogo wakujiita country weezy country boy akaanza kuirudisha trap kwa map. So far wengi wanaofanya trap hawakusimama kiviile walitoa track mbili tatu then wakatoweka. Mara ghafla wakajitokeza watoto hawa wakuitwa OMG ambapo humo kuna mtoto anayejiita young lunya ambaye anaclaim title ya king of trap (funny thing anamconsider country weezy kama guru wake kwa game). So the question is,
Currently nani vile yuko anaown hii game ya trap kwa TZ?