"""who told you"""

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Yawezekaana unajiuliza nini hiihii ni sehemu ya malavidavi iko kunduchi hakika ni kama kijiji lakini ukiingiakwa ndani ni mabenzi basikeli bajaji zinawaleta wake za watu kwa ajili ya hukumu kumradhi na waume za watu...je unaitaji sehemu ya kujificha come to ""Who Told You"""uwe na uhakika unachokifanya atuitaji kuleteana majambazi ama kufanyiwa fujo na waumeza watu kama unaiba uwe nauuhakika na unaemuibia
 
Unatangaza biashara au...
 
senksi... ngoja niseme na muungwana fasta... cha kwangu kikonekana huko tu... nyeti zinahamia kwenye paji la uso!!:yield:
 
senksi... ngoja niseme na muungwana fasta... cha kwangu kikonekana huko tu... nyeti zinahamia kwenye paji la uso!!:yield:

tutamuhamishia mbweni huyo kwa mpango huu..ushafika mkuuu pacolabana anapewa madavi utasema vyumba avina mtu
 
Na wewe ulienda hapo kuiba?



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…