Who was Lissu's informer, does this have any effect on our internal security?

Lissu kasema Magufuli amelazwa hospitalini Nairobi Kenya. Baadaye kaseme serikali ya JMT ilimuondoa na kumpeleka China. Inaonyesha huyo informer ni boya kama boss wake tu.
The end justify the means; tuliambiwa haumwi yupo anachapa kazi, waliosema anaumwa wakakamatwa na kuwekwa ndani, so hadi sasa we real dont know je ni kweli kafia hapo tulipoambiwa au nje ya nchi? Wale wale waliotwambia haumwi na salamu katutumia ndio hao hao tena wamerudi kutwambia alikua anaumwa, unadhani nani kachukua point 3 hapo kati yao na Lissu?
 

Kwa huu Ung'eng'e usitegemee senene za kijani zikujibu hata kidogo.
 
That person who facilitated the process to feed Lissu that information was traced and found in Arusha.

He's been looked after since.

But you seem to be right on our security system especially cyber security.

I think we have cyber security centre but I don't think is well equipped (or is in the process) enough to stop these leaks.
 
Lissu kasema Magufuli amelazwa hospitalini Nairobi Kenya. Baadaye kaseme serikali ya JMT ilimuondoa na kumpeleka China. Inaonyesha huyo informer ni boya kama boss wake tu.
Wewe ndio boya umepindisha alichosema lissu
 
Usijari, we'll nail that rat soon!
 

hakuna maelezo zaidi ya hayo mkuu..
 
Kamalizie assignment huko ukusanye!
 

..hata wakati wa kampeni Magufuli alikuwa anaumwa.

..Lissu akafanyiwa hujuma ili asimame kampeni wakati Magufuli anauguzwa.

..kwasababu Magufuli hakuweza kwenda mikoa ya Kusini, basi Lissu akaanza kupigwa mabomu alipokuwa kusini, na helikopta yake ikawa inazuiwa kutua maeneo alipopangiwa kukampeni.

..kwa jicho langu la udadisi Magufuli alikuwa na hali mbaya tangu wakati wa msiba wa Mzee Mkapa au kabla ya hapo.

NB:

..pia nahisi Magufuli aliwahi kuugua akiwa ktk ziara nchini Uganda.

cc tindo, Mag3
 
Lissu kasema Magufuli amelazwa hospitalini Nairobi Kenya. Baadaye kaseme serikali ya JMT ilimuondoa na kumpeleka China. Inaonyesha huyo informer ni boya kama boss wake tu.
Sasa Kwani hakulazwa Nairobi? Wewe ndo boya basi kwa taarifa yako, endelea kukaa hapo umefungua domo lako huku akili imefungwa!
 
Lissu was playing a poker game! He claimed JPM was hospitalized somewhere outside the country....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…