Who was sleeping with Momy when you were away!

Kamuna

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2009
Posts
298
Reaction score
53
Kid: daddy I need more money!
Daddy: I have no more left!
Kid: Then I won't tell you who was sleeping with momy when you were gone.

Mzee anajipinda anamshikisha, then anamvuta pembeni na kumwambia

Daddy: Ok, son, tell me who was that one!
Kid: It is me dady!when are you travelling again? I enjoy sleeping in your nice bedroom with mom!
 
Hii kali mkuu! Naona mzee alifikiri kapata mwanya wa kumnasa mkewe. Kumbe hamna kitu. Duh! mtoto ana akili!
 
Hii kali mkuu! Naona mzee alifikiri kapata mwanya wa kumnasa mkewe. Kumbe hamna kitu. Duh! mtoto ana akili!
Mkuu hata ungukuwa lazima ungetoa pesa, ukichukulia kwamba watoto wanaaminika sana!
 
haka katoto lazima ni ka great thinker bwana
Labda kaliwahi kusikia mzozo kati ya baba na mama halafu kanajua mzee ni mbinde, kakaona hapa ndio pa kuvutia peasa. I agree, haka katoto ni ka thinker!Ila watoto wanamaajabu napenda sana kuwa observe watoto na mambo yao between age 3 to 11.
 
Wallahi kama ningekuwa mimi ndo baba ningemnyang'anya mshiko niliompa!! afu ningemuahidi zawadi nyingine
 
Wallahi kama ningekuwa mimi ndo baba ningemnyang'anya mshiko niliompa!! afu ningemuahidi zawadi nyingine
Mkuu hapo utakuwa hujakatendea haki maana hayo ni malipo ya habari ambayo ni kweli tena kweli tupu na uliona ni worthy paying for it.
 
Mkuu hapo utakuwa hujakatendea haki maana hayo ni malipo ya habari ambayo ni kweli tena kweli tupu na uliona ni worthy paying for it.
hahahahhaha kwakweli maaan baba kataka umbea na mtoto kamu outsmart, nimeipenda hiyo
 
Hao ndio watotot wa Dot com generation!
 
nafikiria baba alivyomvuta pembeni alikuwa na shauku ya kuandaa kipondo kwa mam!!!
 
Mkuu hata ungukuwa lazima ungetoa pesa, ukichukulia kwamba watoto wanaaminika sana!
Aaa wapi watoto wote si wa kuaminika, kama haka kabwana mdogo kamemtega mdingi ili kapate mshiko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…