WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg

WHO: Watu nane wamefariki Kagera kwa ungojwa unahisiwa kuwa ni Marburg

Influenza

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2018
Posts
1,509
Reaction score
3,756
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya ugonjwa wa Marburg umewaua watu wanane katika mkoa wa Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania.

Taarifa ya shirika hilo iliyochapishwa mtandaoni inasema kuwa mnamo tarehe 10 Januari 2025 ''WHO ilipokea ripoti za kuaminika kutoka kwa vyanzo vya ndani kuhusu visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa huo katika mkoa wa Kagera, Kaskazini magharibi mwa Tanzania. Watu sita waliripotiwa kuathiriwa na virusi hivyo, watano kati yao walikufa.''

Matukio yaliyo na dalili zinazofanana za maumivu ya kichwa, homa kali, maumivu ya mgongo, kuhara, kutokwa na damu (kutapika kwa damu), malaise (udhaifu wa mwili) na katika hatua ya baadaye ya ugonjwa, kutokwa na damu kwa nje (kutokwa na damu kwenye matundu).

Serikali ya Tanzania haijatoa taarifa yoyote kuhusu mlipuko huo, na BBC inaendelea na juhudi za kutafuta mamlaka za nchi hiyo. Hata hivyo, taarifa ya WHO imekuja siku mbili baada ya Wizara ya Afya ya Tanzania kukanusha taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu mlipuko wa ugonjwa usiojulikana katika mkoa wa Kagera.

Kwa mujibu wa taarifa ya WHO, hadi kufikia Jumamosi tarehe 11 Januari 2025, watu tisa walioshukiwa waliripotiwa ikiwa ni pamoja na vifo vinane katika wilaya mbili, Biharamulo na Muleba. Sampuli kutoka kwa wagonjwa wawili zimekusanywa na kupimwa na Maabara ya Kitaifa ya Afya ya Umma.

Matokeo yanasubiri kuthibitishwa rasmi.
''Wahudumu wa afya wamejumuishwa miongoni mwa kesi zinazoshukiwa kuathiriwa, ikiangazia hatari ya maambukizi hospitalini. Chanzo cha mlipuko huo kwa sasa hakijajulikana. Ripoti ya WHO imeeleza.

Kuripotiwa kwa kesi zinazoshukiwa za mlipuko wa virusi vya Murbag kutoka wilaya mbili zinaonesha kuenea kwa kijiografia.

Kuchelewa kubaini kwa mlipuko huo na kutengwa kwa walioathirika, pamoja na ufuatiliaji unaoendelea wa mawasiliano, inaonesha ukosefu wa taarifa kamili ya mlipuko wa sasa. Kesi zaidi zinatarajiwa kutambuliwa.

Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ilikumbwa na mlipuko wa kwanza mwezi Machi 2023. Mlipuko huo mnamo Machi 2023 ulidumu kwa karibu miezi miwili, watu tisa wakithibitishwa kuambukizwa ikiwa ni pamoja na vifo sita.

Mkoa wa Kagera pia unapakana na nchi ya Rwanda ambapo ugonjwa huo ulilipuka kutoka Septemba mpaka Disemba mwaka jana ambapo watu 65 walipata maambukizi na 15 kufariki dunia. Hata hivyo WHO haijahusianisha mlipuko wa Rwanda na mlipuko unaoshukiwa kutokea Kagera kwa sasa.

Chanzo: Watu wanane wapoteza maisha Tanzania kutokana na mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya Marburg- WHO - BBC News Swahili

Pia soma ~ Waziri wa Afya asema Hospitali Maalum ya Magonjwa ya Mlipuko kujengwa Kagera


==================​

Outbreak of suspected Marburg Virus Disease - United Republic of Tanzania

Description of the situation

Introduction

On 13 January 2025, WHO informed its Member States and IHR State Parties of an outbreak of suspected Marburg Virus Disease (MVD) in the Kagera region of the United Republic of Tanzania using our secure web-based platform—the Event Information Site (EIS). Under the International Health Regulations, the EIS is used to issue rapid alerts to Member States of acute and rapidly developing public health risks and events with possible international implications.

Summary of the situation
On 10 January 2025, WHO received reliable reports from in-country sources regarding suspected cases of MVD in the Kagera region of the United Republic of Tanzania. Six people were reported to have been affected, five of whom had died. The cases presented with similar symptoms of headache, high fever, back pain, diarrhoea, haematemesis (vomiting with blood), malaise (body weakness) and, at a later stage of disease, external haemorrhage (bleeding from orifices).

As of 11 January 2025, nine suspected cases were reported including eight deaths (case fatality ratio (CFR) of 89%) across two districts – Biharamulo and Muleba. Samples from two patients have been collected and tested by the National Public Health Laboratory. Results are pending official confirmation. Contacts, including healthcare workers, are reported to have been identified and under follow-up in both districts.

The Bukoba district in Kagera region experienced its first MVD outbreak in March 2023, and zoonotic reservoirs, such as fruit bats, remain endemic to the area. The outbreak in March 2023 lasted for nearly two months with nine cases including six deaths.

Public health response
National rapid response teams have been deployed to support outbreak investigation and response; surveillance activities have been intensified with contact tracing ongoing; laboratory samples from recent cases have been sent for confirmation at the National Public Health Laboratory. A mobile laboratory is located in Kagera region and treatment units have reportedly been established.

WHO risk assessment
The risk of this suspected MVD outbreak is assessed as high at the national level due to several concerning factors. The suspected outbreak thus far involves at least nine suspected cases, including eight deaths, resulting in a high CFR of 89%. Healthcare workers are included among the suspected cases affected, highlighting the risk of nosocomial transmission. The source of the outbreak is currently unknown.

The reporting of suspected MVD cases from two districts suggests geographic spread. The delayed detection and isolation of cases, coupled with ongoing contact tracing, indicates lack of a full information of the current outbreak. More cases are expected to be identified.

The regional risk is considered high due to Kagera region's strategic location as a transit hub, with significant cross-border movement of the population to Rwanda, Uganda, Burundi and the Democratic Republic of the Congo. Reportedly, some of the suspected cases are in districts near international borders, highlighting the potential for spread into neighbouring countries. MVD is not easily transmissible (i.e. in most instances, it requires contact with the body fluids of a sick patient presenting with symptoms or with surfaces contaminated with these fluids). However, it cannot be excluded that a person exposed to the virus may be travelling.

The global risk is currently assessed as low. There is no confirmed international spread at this stage, although there are concerns about potential risks. Kagera region, while not close to Tanzania's capital or major international airports, is well-connected through transportation networks, and has an airport that connects to Dar es Salaam for onward travel outside Tanzania by air. This highlights the need for enhanced surveillance and case management capacities at relevant points of entry and borders, and close coordination with neighbouring countries to strengthen readiness capacities.

WHO advice
Human-to-human transmission of Marburg virus is primarily associated with direct contact with the blood and/or other bodily fluids of infected people. WHO advises the following risk reduction measures be taken as an effective way to reduce MVD transmission and control an outbreak.

Prevention: Protective measures individuals should take to reduce human exposure to the virus include:

Reduce the risk of human-to-human transmission in the community arising from direct or close contact with infected patients, particularly with their body fluids. Close physical contact with MVD patients should be avoided.

People suspected or confirmed for MVD should immediately seek care in health facilities and be isolated in a designated treatment centre for early care and to avoid transmission at home.

Community and family members should avoid caring for symptomatic individuals at home, and avoid touching bodies of people deceased with MVD symptoms. They should avoid touching other potentially contaminated items and surfaces. They should be encouraged to go to a health facility for assessment and treatment if they have symptoms.

Reduce the risk of bat-to-human transmission arising from prolonged exposure to mines or caves inhabited by fruit bat colonies. During work or research activities or tourist visits in mines or caves inhabited by fruit bat colonies, people should wear gloves and other appropriate protective clothing (including masks). During outbreaks, all animal products (blood and meat) should be thoroughly cooked before consumption.

Coordination: Multisectoral coordination and pillar meetings at all levels and sharing of detailed situation reports is encouraged. Involvement of different stakeholders and partners in preparedness and response activities is also encouraged. To ensure an effective and sustained response, resource mobilization efforts within the government and with partners are recommended.

Risk communication and community engagement: Raising public awareness and engaging with communities are important for successfully controlling MVD outbreaks. This includes raising awareness of symptoms, risk factors for infection, protective measures and the importance of seeking immediate care at a health facility. Sensitive and supportive information about safe and dignified burials is also crucial. This awareness should be increased through targeted campaigns and direct work with communities. Special attention should be given to high-risk groups, such as traditional healers, clergy, and community leaders, who may inadvertently facilitate disease spread, and who are important sources of information for the community. Misinformation and rumours should be addressed to foster trust and promote early symptom reporting.

Surveillance: Active case detection, contact tracing, and alert management across affected and neighbouring regions should be intensified. Community-based surveillance systems should be strengthened to promptly identify and report new cases, particularly in high-risk areas. Close monitoring of healthcare workers, family members and individuals who have had contact with suspected cases or other high-exposure settings should be ensured. Surveillance capacities should also be intensified at relevant points of entry and borders to reduce the risk of further spread, including internationally.

Infection prevention and control (IPC) measures: critical infection prevention and control measures should be implemented and/or strengthened in all health care facilities, per WHO’s Infection prevention and control guideline for Ebola and Marburg disease, which highlighted the importance of the rapid implementation of the IPC ring approach including but not limited to IPC rapid assessment, decontamination of the health facilities and household and early detection and identification of the cases through the screening and isolation of the suspected cases to minimize the transmission risk.

Health workers caring for patients with confirmed or suspected MVD should apply transmission-based precautions in addition to: standard precautions, including appropriate use of personal protective equipment (PPE) and hand hygiene according to the WHO 5 moments to avoid contact with patient’s blood and other body fluids and with contaminated surfaces and objects. Waste generated in healthcare facilities must be safely segregated, safely collected, transported, stored, treated and finally disposed. Follow the national guidelines, rules and regulations for safe waste disposal or follow the WHO’s guidelines on safe waste management

Patient-care activities should be undertaken in a clean and hygienic environment that facilitates practices related to the prevention and control of health-care-associated infections (HAIs) as outlined in Essential environmental health standards in health care. Safe water, adequate sanitation and hygiene infrastructure and services should be provided in healthcare facilities. For details on recommendations and improvement, follow the WASH FIT implementation Package

Laboratory testing: The processing and analysis of samples should be expedited, with results promptly shared with responders and clinicians to guide patient management, containment strategies and broader response efforts. This includes genomic sequencing on positive samples. International referral of samples to a regional reference laboratory should be considered for inter-laboratory comparison.

Evaluation of candidate medical countermeasures: There are no licensed vaccines or therapeutics against MVD. Several candidate vaccines are in the pipeline and outbreaks offer an opportunity to assess their efficacy and safety. There are protocols available and a network of experts in filovirus ready to support national researchers.

Safe and dignified burials: Safe and dignified burial protocols should be implemented for people who have died to minimize community exposure. Additional training and equipment for healthcare workers and burial teams should be provided to ensure safe management of MVD-related fatalities. Thorough community engagement is required to ensure that affected communities are empowered to adhere to the protocol.

Case management and mental health and psychosocial support: Isolation and treatment facilities should be adequately equipped to ensure the safety and efficacy of patient care, while simultaneously preventing the spread of the disease. Supportive care such as rehydration, symptom management, and psychological support for patients and their families is essential to improving survival rates and mitigating the outbreak's impact.

Border health and cross-border coordination: Surveillance and response capacities should be strengthened at relevant points of entry, onboard conveyances, and in border regions to prevent further spread, including internationally. Cases, contacts and individuals in affected areas who present signs and symptoms compatible with case definitions should be advised not to travel in line with WHO’s border health and points of entry technical guidance for filovirus disease outbreaks. Collaboration with neighbouring countries should be enhanced to harmonize reporting mechanisms, conduct joint investigations, and share critical data in real-time. Surrounding countries should enhance readiness activities to enable early case detection, isolation and treatment.

Preparedness and Readiness: Readiness assessments in high-risk regions should be conducted to ensure response mechanisms, such as mobile labs and isolation units, are adequately equipped to manage new cases.

Based on the current risk assessment, WHO advises against any travel and trade restrictions with the United Republic of Tanzania.

Chanzo: WHO
 
Hilo dude lipo tayari Tz tangu kitambo kidogo, linatafuna wahaya na wanyambo kimya kimya, lakini serikali kukwepa kelele imepiga kimya.

This is Tz
 

Attachments

  • 5926866-27c969517f313456671a875bfbd87d9d.mp4
    10.1 MB
WHO: Abantu umunani barapfuye mu Kagera kubera indwara ivugwa ko ari Marburg.
 
OMS : Huit personnes sont décédées dans la région de Kagera en raison d'une maladie soupçonnée d'être la Marburg.
 
Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema mlipuko unaoshukiwa kuwa wa virusi vya ugonjwa wa Marburg umewaua watu wanane katika mkoa wa Kagera Kaskazini magharibi mwa Tanzania.

Taarifa ya shirika hilo iliyochapishwa mtandaoni inasema kuwa mnamo tarehe 10 Januari 2025 ''WHO ilipokea ripoti za kuaminika kutoka kwa vyanzo vya ndani kuhusu visa vinavyoshukiwa vya ugonjwa huo katika mkoa wa Kagera, Kaskazini magharibi mwa Tanzania. Watu sita waliripotiwa kuathiriwa na virusi hivyo, watano kati yao walikufa.''

Matukio yaliyo na dalili zinazofanana za maumivu ya kichwa, homa kali, maumivu ya mgongo, kuhara, kutokwa na damu (kutapika kwa damu), malaise (udhaifu wa mwili) na katika hatua ya baadaye ya ugonjwa, kutokwa na damu kwa nje (kutokwa na damu kwenye matundu).

Serikali ya Tanzania haijatoa taarifa yoyote kuhusu mlipuko huo, na BBC inaendelea na juhudi za kutafuta mamlaka za nchi hiyo. Hata hivyo, taarifa ya WHO imekuja siku mbili baada ya Wizara ya Afya ya Tanzania kukanusha taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu mlipuko wa ugonjwa usiojulikana katika mkoa wa Kagera.

Kwa mujibu wa taarifa ya WHO, hadi kufikia Jumamosi tarehe 11 Januari 2025, watu tisa walioshukiwa waliripotiwa ikiwa ni pamoja na vifo vinane katika wilaya mbili, Biharamulo na Muleba. Sampuli kutoka kwa wagonjwa wawili zimekusanywa na kupimwa na Maabara ya Kitaifa ya Afya ya Umma.

Matokeo yanasubiri kuthibitishwa rasmi.

''Wahudumu wa afya wamejumuishwa miongoni mwa kesi zinazoshukiwa kuathiriwa, ikiangazia hatari ya maambukizi hospitalini. Chanzo cha mlipuko huo kwa sasa hakijajulikana. Ripoti ya WHO imeeleza.

Kuripotiwa kwa kesi zinazoshukiwa za mlipuko wa virusi vya Murbag kutoka wilaya mbili zinaonesha kuenea kwa kijiografia.

Kuchelewa kubaini kwa mlipuko huo na kutengwa kwa walioathirika, pamoja na ufuatiliaji unaoendelea wa mawasiliano, inaonesha ukosefu wa taarifa kamili ya mlipuko wa sasa. Kesi zaidi zinatarajiwa kutambuliwa.

Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera ilikumbwa na mlipuko wa kwanza mwezi Machi 2023. Mlipuko huo mnamo Machi 2023 ulidumu kwa karibu miezi miwili, watu tisa wakithibitishwa kuambukizwa ikiwa ni pamoja na vifo sita.

Mkoa wa Kagera pia unapakana na nchi ya Rwanda ambapo ugonjwa huo ulilipuka kutoka Septemba mpaka Disemba mwaka jana ambapo watu 65 walipata maambukizi na 15 kufariki dunia. Hata hivyo WHO haijahusianisha mlipuko wa Rwanda na mlipuko unaoshukiwa kutokea Kagera kwa sasa.

Ugonjwa wa Marburg ni nini?​


Kulingana na Umoja wa Mataifa, virusi vya Marburg, ambavyo ni sawa na virusi hatari vya Ebola, viligunduliwa kwa mara ya kwanza baada ya watu 31 kuambukizwa, saba kati yao walikufa, mnamo 1967 huko Marburg na Frankfurt. Ujerumani na Belgrade huko Serbia.

Dalili za ugonjwa huo ni pamoja na kikohozi, maumivu ya viungo, kuhara na kutapika, na mara nyingi hata upungufu wa damu katika mwili.

Nchi kadhaa za Afrika zimewahi kuripoti mlipiko wa virusi ikiwa ni pamoja:

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)
  • Kenya
  • Afrika Kusini
  • Uganda
  • Zimbabwe
Mlipuko wa mwaka 2005 nchini Angola ulisababisha vifo vya watu zaidi ya 300. Lakini barani Ulaya, ni mtu mmoja tu amefariki katika kipindi cha miaka 40, na mmoja nchini Marekani,baada ya kurejea kutoka katika safari ya kuzuru mapango nchini Uganda.

Milipuko mikubwa:

2017, Uganda: visa vitatu, watu watatu walifariki

2012, Uganda: vis 15, watu wanne walifariki

2005, Angola: visa 374, watu 329 walifariki

1998-2000, DR Congo: visa 154 cases, watu 128 walifariki

1967, Ujerumani: visa 29, watu saba walifariki

Chanzo: WHO

Je, hueneaje?​

Popo wa matunda aina ya rousette wa Misri mara nyingi huwa na virusi. Nyani wa kijani kibichi na nguruwe wanaweza pia kubeba.
Miongoni mwa wanadamu, huenea kupitia maji ya mwili na malazi yaliyochafuliwa nao.
Na hata watu wakipona, damu au mbegu zao za kiume, kwa mfano, zinaweza kuwaambukiza wengine kwa miezi mingi baadaye.

Je, inaweza kutibiwaje?​

Hakuna chanjo maalum au matibabu ya virusi.
Lakini aina mbalimbali za bidhaa za damu, madawa ya kulevya na matibabu ya kinga yanatengenezwa, WHO inasema.

Na madaktari wanaweza kupunguza dalili kwa kuwapa wagonjwa waliofika hospitali maji mengi ili kuchukua nafasi ya damu iliyopotea.

Vinawezaje kudhibitiwa?​

Watu barani Afrika wanapaswa kuepuka kula au kushika nyama ya porini, Gavi, shirika la kimataifa linalokuza upatikanaji wa chanjo, linasema.

Watu pia wanapaswa kuepuka kuwa karibu na nguruwe katika maeneo yenye mlipuko, WHO inasema.

Wanaume ambao wamekuwa na virusi wanapaswa kutumia kondomu kwa mwaka mmoja baada ya kupata alili au hadi shahawa zao zitakapothibitishwa mara mbili kuwa hazina virusi.

Na wale wanaozika watu ambao wamekufa kutokana na virusi wanapaswa kuepuka kugusa mwili.

Imeandikwa na Lizzy Masinga na kuhaririwa na Athuman Mtulya.
 
Kwani raia wa kagera wenyewe wanasemaje? Mpaka serikali iseme? Kwani humu hatuna akina BISHANGA AM ?
 
Agenda 2030 on display au sio?!

Kwamba BBC na WHO zinamamlaka ya kutoa taarifa ya mlipuko wa ugonjwa hatari na mpaka kutoa idadi ya vifo bila udhibitisho wa mamlaka za nchi husika?!

Kwamba BBC wanasema wameshindwa kuzungumza na “mamlaka za nchi hiyo”…

It all starts like this…installing fear bits by bits, wakijaa kwenye mfumo then its all real and scary!
 
Screenshot_20250115_120856_Firefox.jpg


Naomba mum-tag Jennista MHAGAMA. Huko Kagera yasemekana watu 8 wamefariki kwa homa ya marbug kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani.

Tabia ya kujifanya ugonjwa haupo haizuii ugonjwa kuendelea kuua watu.

RIP Dr Mwele Malecela, aliposema tu kuwa kuna dalili za ugonjwa wa Zika mwaka 2016, MAGUFULI alimtimua kazi. Naona tabia hii inaendelea hadi kipindi hiki cha awamu ya 6.
 
The same as all the others, part nature part biolab. (On the nature part, let’s just say millions of years’ living together with plants and animals in harmony never caused any problems, until suddenly, a certain geopolitical interest arose. New World Order, Great Reset,… Yes, these people are allowed to walk around free…)

I’ll tell you what they’re planning and how they want to make this all play out. We should all know the drill by now. We’ve got experience.

They’ll start their usual media frenzy with people getting sick and dying of symptoms associated wth Marburg. They will “quickly find” the solution in the form of a vaccine. They’ll start mass vaccinations and when yet more casualties appear on the news (this time real deaths owing to the vaccine, which was not designed to save you from anything at all in the first place), they’ll chalk it up to mutations (again, like with Covid, we’ve seen how it’s done) and pump you full again with whatever they had in mind (more internet addresses, which or some protocols of routers associated with it are also called DNA, in case you were wondering, or whatever they want you to be tested for or transformed into).

You are considered a testee. An animal. You are not considered to be a human being. A person at best, with some tax, national insurance and mainly debit/credit card numbers associated with it. Mostly you are a commodity, and a test subject
 
Hii ndio faida ya kushiriki na wachawi(West)

Unapewa msaada huku ukifanywa Kongo taratibu.
 
Back
Top Bottom