WHO: Watu zaidi ya Bilioni moja wapo hatarini kupoteza uwezo wa kusikia

WHO: Watu zaidi ya Bilioni moja wapo hatarini kupoteza uwezo wa kusikia

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Kuelekea Siku ya Usikivu Duniani (Machi 03, 2022), Shirika la Afya (WHO) limesema zaidi ya Watu Bilioni Moja ulimwenguni kote wapo katika hatari ya kupoteza uwezo wa kusikia kutokana na mazoea ya kusikiliza muziki kwa sauti kubwa, na kwa muda mrefu.

Imeelezwa kuwa, kupoteza usikivu kutokana na sauti kubwa ni jambo la kudumu, lakini linaweza kuzuilika. Ripoti ya Shirika hilo inasema kufikia 2050, inakadiriwa Mtu Mmoja kati ya Wanne atakuwa na tatizo la usikivu.

======

Globally, over one billion people are at risk of hearing loss due to the common practice of listening to music at loud volumes and for long periods of time. Hearing loss caused by loud sounds is permanent; however, it is also completely preventable.

The WHO World report on hearing reports that by 2050 an estimated one out of four people would have hearing loss. It highlights the importance of prevention to reduce hearing loss risk and prevalence. To prevent hearing loss caused by unsafe listening practices, WHO has created the ‘Make Listening Safe’ initiative

Source: Wold Health Organization (WHO)
 
Kwa hiyo tufanyeje sasa
Vaeni earplugs mkitaka kusikiliza mziki. 😂

Ila kusema ukweli noise ni hazard ambayo watu huchukulia poa sana. Binafsi nafanya kazi mazingira yenye kelele 24/7 kuna jamaa nimemkuta kazini ana miaka kadhaa na anafanya kazi kwa mazoea hata akiwa mazingira ya kelele havai earplugs.

Kinachojidhihirisha ni kuwa hata mkiwa hampo kazini jamaa huwa anapayuka sana yani hawezi kuongea kwa sauti ya chini na yeye mwenyewe ukiongea sauti ya chini hakusikii.

Ndani ya miaka kadhaa huyu atakuwa kiziwi. Tuchukue tahadhari.
 
Ila huu utafiti ni kweli....naamini na maisha ya stress yanachangia ukiziwi😆😆😆😂😂
 
Naskia tumba za bangi ni dawa,
Na hata bangi yenyewe na mafuta yake ni dawa ya sikio
Sijui kweli au uwongo
 
Sawa tumekuelewa,ingawa wengine it's too late tayari tuko kwenye tatizo...
 
Kuelekea Siku ya Usikivu Duniani (Machi 03, 2022), Shirika la Afya (WHO) limesema zaidi ya Watu Bilioni Moja ulimwenguni kote wapo katika hatari ya kupoteza uwezo wa kusikia kutokana na mazoea ya kusikiliza muziki kwa sauti kubwa, na kwa muda mrefu.

Imeelezwa kuwa, kupoteza usikivu kutokana na sauti kubwa ni jambo la kudumu, lakini linaweza kuzuilika. Ripoti ya Shirika hilo inasema kufikia 2050, inakadiriwa Mtu Mmoja kati ya Wanne atakuwa na tatizo la usikivu.

======

Globally, over one billion people are at risk of hearing loss due to the common practice of listening to music at loud volumes and for long periods of time. Hearing loss caused by loud sounds is permanent; however, it is also completely preventable.

The WHO World report on hearing reports that by 2050 an estimated one out of four people would have hearing loss. It highlights the importance of prevention to reduce hearing loss risk and prevalence. To prevent hearing loss caused by unsafe listening practices, WHO has created the ‘Make Listening Safe’ initiative

Source: Wold Health Organization (WHO)
NEMC mnasoma hii na kuifanyia kazi au mnaona ni kama story za kijiweni!?
 
Hivi sabwoofer ni radio au speaker.
Haya madude ni majanga.
 
Haya wenye makanisa ya mabati nadhani ujumbe mmeupata.Msitusababishie uziwi kwa faida yenu kwa kupiga nyimbo za yesu kama tupo disko
 
Back
Top Bottom