WHO yatoa tahadhari ya hatari kubwa ya magonjwa ya mlipuko kutoka Sudan

WHO yatoa tahadhari ya hatari kubwa ya magonjwa ya mlipuko kutoka Sudan

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Shirika la Afya duniani linasema kuna hatari kubwa ya magonjwa ya mlipuko kutoka Sudan na kusambaa kwingine.

Wanamgambo wa RSF wametwaa maabara ya kitaifa yenye sample mbalimbali za magonjwa hatari ya mlipuko yanayojumuisha Polio, Tetekuwanga, Kipindupindu na mengineyo zilizokuwa zimehifadhiwa katika maabara ya kitaifa ya Sudan.

Kutokana na ujinga, uzembe au kwa makusudi vimelea vya magonjwa hayo vinaweza kusambaa na kuongeza maafa juu ya vita vinavyoendelea kwa Sudan na nchi nyingi zinazoizunguka.
 
Back
Top Bottom