Who's DINAHICIOUS?

Status
Not open for further replies.

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
741
JAMANI, hivi huyu mdada anayeitwa jina hilo hapo ni nani?

Kwa wale wanaomfahamu, anayo blog yake fulani hivi, na anavyoandika, nimeshindwa kumpima ni mwanamke wa kisasa kiasi gani, ana pepo la ngono kiasi gani na ni mtu wa aina gani.

Kwa wanaomfahamu tafadhali, kwasababu unaweza kushangaa ni mfanyakazi au mtu celebrity ambaye pengine nimeshamwona mara nyingi.
 
Nadhani ushawahi kumsikia jina halisi anaitwa Edna Peter before hajaja Dar alikuwa anatangaza na kituo kimoja cha redio cha Jijini Arusha, Triple A fm.. umjini umemkaa siku izi anajiita hivyo baada ya kuajiriwa na Clouds fm,
 
Dina Marios?
Eti anamaanisha huyo dina??weka link tujue ili upate jibu!Msije mkawa mnasema kwakutojua mipaka yenu kama inakukwaza waandikie tume ya mawsiliano hapa nadhani msaada hakuna zaidi ni kumsengenya mtu!
 
Nadhani ushawahi kumsikia jina halisi anaitwa Edna Peter before hajaja Dar alikuwa anatangaza na kituo kimoja cha redio cha Jijini Arusha,
Triple A fm.. umjini umemkaa siku izi anajiita hivyo baada ya kuajiriwa na clauds fm,
acha uongo kama humjui mtu usiandike upupu,Dina Marious ni mwingine na huyu ni mwingine kwanza hayuko TZ,pitia Blog yake ndio utajua tofauti zao
 
Wekeni Link apa watu waccomment objectively otherwise tutakuwa tunapiga majungu
 
..huyu dada nampenda kweli yani nipo radhi nifanye kitu chochote kwa ajili yake ....na tafadhali hakuna kumponda hapa kwenye hii thread kwani mi ndio hivo tena kwake ..sorry kama ameolewa
 
wengi tumejifunza mengi kupitia Blog yake ila ndio hivyo wasukutua vinywa hawakosekani,nampenda sana na mungu amzidishie moyo huo wa kugawana kila alichonacho
 
..huyu dada nampenda kweli yani nipo radhi nifanye kitu chochote kwa ajili yake ....na tafadhali hakuna kumponda hapa kwenye hii thread kwani mi ndio hivo tena kwake ..sorry kama ameolewa

Tutasema ukweli tu usijali she is not married!
 
huwa napitia sana blog yake,ni mtu anaeshauri vizuri sana,kama mwenye experience anachokishauri.nimefurahi kuona picha yake
 
Tutasema ukweli tu usijali she is not married!
Useja una kazi...nimekwenda ku check kwenye profile yake anasema ameolewa(hapo chini)
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…