Who's next? Anafungwa Biashara,wanazimia msimbazi

Chukwu emeka

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2018
Posts
24,314
Reaction score
38,919

Comeback ya nguvu kama kawaida ya mabingwa wa muda wote Young Africans kupitia magoli ya Shaibu Ninja na Makambo the Congolese international,baada ya kuwa nyuma kwa goli moja hadi kipindi cha kwanza,Yanga waliingia kwa nguvu na kuwaadabisha vijana hao wa Mara ambao ni mara ya kwanza kwa kucheza TPL.

Kama kawaida sub 2 ya Tambwe na Buswita yaliiongezea nguvu timu ya wananchi ambao ni wapambanaji na wafia timu japokuwa timu inapitia kipindi kigumu kwa kukosa fedha na wachezaji kutolipwa mishahara.

Kocha Mwinyi Zahera ndiye ameonekana kuwa chachu ya ushindi wa Yanga na leo akionekana mchezaji mpya jukwaani toka Congo kuja kuongeza nguvu.

Kwa spirit hii,usishangae Yanga tukawa mabingwa msimu huu.

Daima mbele, nyuma ni mwiko....Yanga daima
 
Nyaamu nyaaaam titititit Simbwanaumiaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…