Why Abdallah!!!????

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Hivi hili neno Abdallah kichwa wazi lilitokana na nini na kwanini haikuwa athumani,juma,etc???
 
Hivi hili neno Abdallah kichwa wazi lilitokana na nini na kwanini haikuwa athumani,juma,etc???

Na kwanini kulikuwa na wimbo " Athumani x 3... Mk......mpana"? kwa nini iswe rashidi au josefu
Hapo umefunga kopo lako kwenye mti umekazana kuimba

Na ule wa " Amina .. amina kadala...........Namuogopa Ally ana kijiti kinene...." Kwa nini Amina na Ally na siyo Juma na Asha:A S-alert1:
 
sio uulize majina ya kiislamu KK uliza na John, David, Richard nk kwanini sio hao acha hizo
 
mhh aya
so itabd waitwe na bernard kichwa waz..
 
Abd(amini,abudu) allah(mungu)....jina zito sana hili tusilichezee jamani
 
subhana llah!!! mbona hivyo sasa na beside wewe ndio mafrudh unisaidie mana ndio ulioanzisha topic,,usifanye uchoyo shauri yako,,

Hapo kwenye blue nieleweshe kwanza!!nitakuelimisha zaidi.Hata ukitaka kumwona huyo wanaye mtajataja maelezo yake yapo!
 
subhana llah= ni neno la kumtanguliza allah kiupande wa mtu islam kwa mshangao alopata na kuanza kunza kumtanguliza allah,,,,,
mafrudh= ni neno la kiarabu,,,ambapo mimi nimeteleza kuliandika hapa kawa ajili nilikuwa sijui nini la swhili language lakini nishaletewa sms na rafiki yangu kuwa linamaanisha kwa kiswahili inatakikana au inatakiwa...
Hapo kwenye blue nieleweshe kwanza!!nitakuelimisha zaidi.Hata ukitaka kumwona huyo wanaye mtajataja maelezo yake yapo!
 
Ni kama ilivyokuwa ikiitwa timu ya tz " KICHWA CHA MWENDAWAZIMU"

Kwa nini haikuwa kenya, uganda, burundi etc?
 




Huu wimbo ulikuwa ukiwaburudisha sana watoto wa mtaani kwetu mwanzoni mwa miaka ya 80.
 
ooh allah is better than me sweat heart!!! so is better to be with him much than me bcause u might also meet someone more than me 4 today bcause of allah!!!!
Why allah and not you be with me day and night with allah watching us...cherie..carro?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…