Why Abdallah!!!????

ooh allah is better than me sweat heart!!! so is better to be with him much than me bcause u might also meet someone more than me 4 today bcause of allah!!!!

Kwakuwa nyote ni watoto wa allah mkiwa pamoja allah atafurahi au wewe unaonaje sidhani kama kuna mwingine amempangia kwa leo zaidi yako wewe!!
 
usijidai hapa we si umekataa kunambia,,,,

Hukusoma haya maneno kwenye post iliyopita??haya Hapo kwenye blue nieleweshe kwanza!!nitakuelimisha zaidi.Hata ukitaka kumwona huyo wanaye mtajataja maelezo yake yapo!
 
Angekuwa MS hapa angeshaitwa mdini!

Hivi kama ni wewe unaweza ukasema udini??maana wote hiyo inajulikana tangu utoto hii inaashiria wenye dini hii ni mafusika!!kwanini wasiseme petro kichwa wazi waseme huyo abdallah???tia akili mwenyewe!
 
sio uulize majina ya kiislamu KK uliza na John, David, Richard nk kwanini sio hao acha hizo
hayo ya upande mwingine ndio yanapendezea kwenye music hahahahahahahaha au wewe bidada hujalionaga hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…