Why aren't you quoting Nyakundi no more Mr. Geza Ulole?

Why aren't you quoting Nyakundi no more Mr. Geza Ulole?

NairobiWalker

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2012
Posts
14,267
Reaction score
14,890
Nyakundi has been a favorite on your quotes due to his tendency of always criticizing the Kenyan government. Why are you quiet now? 😂 😂 😂

Capture.JPG
cap.JPG
 
Huyu jamaa aliyepiga hii selfie saizi kucha zake zitakua zinavuja damu ha ha ha ha ha ha ha
 
hahaha aiseeee jamani mweh!! 🤢 🤪 💩 💩
 
Hiyo bus ya kwenda Riakanau imenikumbusha mbali, hehehe halafu limeendana vizuri sana na bureti train ya Bongo.
 
Vitu vya kawaida mistakes while unloading test engine happen!
 
Hiyo bus ya kwenda Riakanau imenikumbusha mbali, hehehe halafu limeendana vizuri sana na bureti train ya Bongo.
Hahaha, yani jamaa zimeletewa treni inakaa basi tulizotumia 1980s.
 
Ila usitukane Mamba kabla hujavuka MTO. Tuliwasimanga sana Majirani na SGR yao leo sisi tunajaribu na Basi la kwenda Ushagoo
Bro hakiki taarifa zako sawa sawa hatuwacheki bahati mbaya.
 
Vitu vya kawaida mistakes while unloading test engine happen!
Hizo sio punje za mahindi. Ni kichwa cha treni. Kama kweli kimenguka aliyehusika anatakiwa kuwekwa kando kabisa.
 
Hicho ni kifaa cha kampuni ya Yapi Markaz, na faults wakati wa kufanya test ni kitu cha kawaida sanaa

Kwa hiyo usistaajabu sana pia ukumbuke wewe umeshindwa kujenga SGR yenu kuimalizia kwasababu ya madeni makubwa ya kupitiliza.... hahah hadi mchina kawakinai hiyo ni hatari

Wenzako huku tunachanja mbuga tu
 
Back
Top Bottom