Why Azam FC hawatumii Chamanzi Complex kwa mechi za Simba na Yanga

Why Azam FC hawatumii Chamanzi Complex kwa mechi za Simba na Yanga

Ng'wanamangilingili

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2015
Posts
5,778
Reaction score
4,859
Title inajieleza, wajuzi mtujuze, nakumbuka zamani ilikua. je ni.ufinyu wa mashabiki hawatatosha ama? Kwa maana uwezo wake ni watu 10000 na baadhi ya mechi Taifa za Azam vs Yanga/Simba ni washabiki hao hao hawazidi.

Je ni kwa ajili ya mapato? Sidhani kwa maana Azam ni self sustained team, kama wnahisi wanakuwa comfortable kumpasua mnyama ama utopolo pale Chamanzi haina haja ya kwenda kukimbizwa Taifa wabaki pale pale kwao ChamanzI.
 
Mbona msimu uliopita Yanga ilenda Chamazi na kuondoka na point 3 muhimu!
 
Kiwanja ni kidogo ukilinganisha na mkoa waliopo una watu wengi na wanapesa ya kulipa kiingilio
 
Toka msimu uliyopita board ya ligi iliidhinisha mechi zote za nyumbani za Azam FC zinachezwa kwenye uwanja wao unless Azam wenyewe watake kucheza nje ya uwanja wao na ndio maana mechi zao za nyumbani za Simba na Yanga wamechezea kwenye uwanja wao.
 
Back
Top Bottom