Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Kwa moyo wangu safi mimi hapa nakufanyia marekebisho kidogo.Sijapenda tufike hatua hii ila ni kwa sababu umeleta mada ya hovyo sanaIts not in Arab countries its in UK most of the muslims in UK are of African origin Pakistan India and Malysia Arabs are very few, so the question of petrol dollar doesn't rise here don't mislead pple.
Bosi hi sio ugomvi kalete data tuchangie kama unazo acha chuki za kidini mkuuUjinga mtupu, mbona pia hamtoi takwimu za waislam wanaobadili dini na kuwa wakristo huko Yemen, Egypt, Iran, n.k?
Dini ya haki ya Mungu ni upendo na siyo jihad
It is Allah's religionMuslims can be undermined cotempted called all sorts of terrorist names, but when it comes to their religion, even a drunkard Muslim is ready to defend Islam, what is the secret behind Islam?
Allah akuongoze mpenzi. Pia fikiria siku ya kiyama hata mama atamkimbia mtoto , je mume unafikiri atafanya nini ili aipate pepo ikiwa kule ni amali tu ndizo zitatufaa tulizozitangulizaUislamu dini ya haki. Hata mie nataman kuingia. Tatizo mume wangu!
Ni kweli Baby mbona hata mimi nataka nijiungeni ila wewe nikaona ni kukwazo,kule naweza kurelux niongeze hata wake wawiliUislamu dini ya haki. Hata mie nataman kuingia. Tatizo mume wangu!
Ukristo wa kanisa lipi ndiyo sahihi?Hapana hiyo sio dini ni uhuni unaofanywa na watu wanao jiita ma Nabbi, ukuristu unesha vamiwa vibaya.
No way, it can't be true432 Churches are now Replaced by mosques in England in the period of 5yrs is this aclear indication that islam is atrue religion? And will triumph other religions?
While in Africa born again christians have diluted christianity to a mere bussiness centres unfinished shelters have mushroomed in every part and are called churches, should we say its the end of the climax of christianity?View attachment 2052567View attachment 2052573View attachment 2052575
Si UK Tu ni nchi nyingi za ulaya. Kuna Mengine yamegeuzwa baaNo way, it can't be true
Nikwambie kitu home boy sema naomba usinielewe vibaya.
Fanya hivi,michakato ya luzungu piga chini tu acha tupige kiswahili chetu au lugha nyingine
Mwisho kabisa ukiwa una andika Uk usiwe unasahau article the kabla ya UK niya muhimu sana.Kwahiyo uwe una andika the UK
Asante
Mhh!!Si UK Tu ni nchi nyingi za ulaya. Kuna Mengine yamegeuzwa baa
Mhh!!
Leta ushahidi sio kusema kila mtu anaweza kusema lolote, ukweli ni kwamba uislamu hauzuiliki katka bara la ulaya, tangu Sept 11 2001 kina semekana hidadi ya wanao Ingia dini ya uislamu nchini uingereza tu imeongezaka mara 3, kwasasa waislamu wako zaidi ya 6m nxhini uingereza karibia 10% ya population yao, vist Google enclopidea kuprove.Si UK Tu ni nchi nyingi za ulaya. Kuna Mengine yamegeuzwa baa