Hili eneo zuri sana ukijua kulitumia ipasavyo, babu big upAku.........mi kukoga nakoga mwenyewe, sema ye ananisaidia kusugua mgongoni....na dodoki lake .....akirembua tunafanya baba na mama huku tunakoga LOL
Ubarikiwe kaka mko wachache sana dunia hiiThanks Gaga... Frankly naona jinsi marafiki zangu wanavyoteseka na ndoa zao...mateso mengi ni ya kujitakia ilihali machache ni yale yasiyokwepeka...utakuta mtu anaamua kutoka na mkewe kwa lengo la kwenda kubadili mazingira....mtoko unaingia mdudu pale comparison zinapoanza mwanaume kumthaminisha wake/mke wa rafiki za/yake ilihali mke naye kwa wizi wizi akitupa jicho kwa waume wa wenzie...anyway ni jambo jema ila tujiulize swali jepesi,wakati mkifanya commitment mlishikiwa bunduki ama?? Nionavyo wajanja na ambao wakati haujawatupa mkono ni wale wanaoheshimu ndoa zao na kua na uthubutu wa kusimama mbele ya watu na kukiri, "jamanieee, huyu ndiye" Thus all!
Mhh hii haiwezekani milele yote, lazima kuwe kuna tofauti ili maisha yawe mazuriNatamani wote tungekuwa tunawaza kama wewe Horseshoe
Ukiipatia hiyo kwenye bold basi mambo yako yote poa, hongera mwanajamiiOne kwa kujielewaGaga hili swali si kuwa sijawahijiuliza la hasha, na wala haikutokea mara moja au mbili, several but ukweli ni kuwa sikupata sababu ya kwa nini niliolewa.all i know ni kuwa I loved him to the extent ya kutaka kuwa karibu naye all the time for the rest of my life...............but yalipotokea ya kutokea nilijiuliza tu why did I get married to this person?!!
but maisha yanasonga mbele with all the good and bad memories ...........
To be honest mie huwa najiuliza hata sasa sidhani kama mpaka uolewe ndio ujiulize kwa nini upo na mtu fulani, ulitulimit pale tu uliposema "why did i get married" ndio maana tumekimbia fasta, ila maisha haya tunayoishi ya kujisogeza mwenyewe pia huwa tunajiuliza sana.. kwanza unamchukia mpaka unajuta kumfahamu siku akikuudhi then baada ya muda mfupi na kubembelezwa unaanza kujiona wewe ndio wewe na maisha yanakwenda kama kawaidaMhhh mpaka uolewe ndio uje kuchangia? basi mpaka upate na uzoefu kwa hiyo nikutegemee humu miaka mitano ijayo sio eee, hahahahaaahaaha umenichekesha sana BB
Ngoja nikae chini nifanye ile kitu inaitwa 're birth', with it akili yangu ita rewind taratibu,nitapata picha nzima ya maisha yangu kikiwemo kipindi cha kufukuzia,ku win,kuoa,mwanzo wa timbwili,talaka,kupenda tena, kuoa,valangati,talaka tena...............another circle......well ....well....nikimaliza hilo zoezi God willing nitarudi kwenye uzi huu,in the meantime good evening Gaga and the rest of the members mliopo kwenye hii thread.