jmushi1,
jamaa hapandishi kiswahili na kuna wakati mijadala inampita.
Kwa hivyo naomba mpe ufafanuzi zaidi kwa kimombo anapouliza swali.
Ngoja kwanza, ngoja kwanza, Mkuu Ab Tichaz.
Huyu bwana, sijui bibi, haishi kutukana rangi yetu wote kijumla jumla hapa kila siku, saa na sekunde, leo mnatuambia tumfafanulie lugha yetu? Kwa vile anaandika Kiingereza koko hiki chetu cha Mtakuja Primary School? Kwa nini yeye ndio asijifunze Kiswahili? Maana kakuta watu wanajadili Kiswahili. Au kwa nini asiwe mstaarab wa kuomba aandikiwe Kiingereza? Anaamrisha kwa dharau kwamba ajibiwe Kiingereza kwa vile anajua akisema hivyo tu, watu watatetemeka kuonekana hawajui Kiingereza.
Jana kasema America haiwezi kumeza wahamiaji kutoka kwenye jamii za dunia ya tatu. Akimaanisha tatizo lake sio uhamiaji kujaza nchi, bali sisi wa dunia ya tatu kujaza nchi. Maneno ya ki Ku Klux Klan, ametukana kila mhamiaji wa humu jamvini. Leo mnatuambia tufanyeje, tumtasirie? Mnasema nini?
Na nyinyi kina Mushi ndio mnampa kibichwa huyu THE UONGO huyu, mnahangaika kumdhihirishia kwamba na nyinyi mnajua Kiingereza. Mnahangaika kweli kweli. Huyu Mtanzania koko house nigga huyu anatukana wahamiaji wa dunia ya tatu ambae haishi kushinda kwenye tovuti ya watu wa dunia ya tatu anawaambia hajui Kiswahili? Hajui kiswahili mbona anatia shukrani kwenye matundiko ya Kiswahili?
Tumtasifirie Kiswahili? Kaburu? Forget that. Eff that. Nani amewafundisha kuchukia rangi yenu na utu wenu na lugha yenu? Kiasi kwamba hamtaki hata kuikaribia na kukaribiana?
Mkamtafsifirie hivi, muelewesheni haya: Kamkalakinde midende vavagila....