DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Wanajopo habari za jumapili, wale ndugu zetu wakristu natumaini leo mmeshiriki ibada katika maeneo mbalimbali.
Na wengine waliokuwa na mhe Rais mmeshiriki kwa kuchangia ujenzi wa msikiti of which kwenu is good.
Tuweke habari za siasa za mbelgiji na jiwe pembeni kidogooo.
Leo napenda tujadili sababu za wana kwa wale waamini wa ukristo ambao wana muda kidogo hawahudhurii makanisani. Ni nini hasa kimepelekea waache kushiriki ibada makanisa?
Mimi binafsi , samahani nitachanganya lugha kidogo.
Back in the days I Went to some church and when it was time for offering , they said "silent collection" meaning no coins just paper and I only had coins on me then they pulled out a speed point "swiping machine" and I was like Fvck this shit I'm outta here.
Kwa mantiki hiyo, Money became more important than praise, hence they didn't take poor people seriously.
My turning point was after a Fake pastor known as Gwajima mfufuaji , mfufuaji my foot, raised somebody from the dead and seeing his followers/misukule rejoicing.
Na wengine waliokuwa na mhe Rais mmeshiriki kwa kuchangia ujenzi wa msikiti of which kwenu is good.
Tuweke habari za siasa za mbelgiji na jiwe pembeni kidogooo.
Leo napenda tujadili sababu za wana kwa wale waamini wa ukristo ambao wana muda kidogo hawahudhurii makanisani. Ni nini hasa kimepelekea waache kushiriki ibada makanisa?
Mimi binafsi , samahani nitachanganya lugha kidogo.
Back in the days I Went to some church and when it was time for offering , they said "silent collection" meaning no coins just paper and I only had coins on me then they pulled out a speed point "swiping machine" and I was like Fvck this shit I'm outta here.
Kwa mantiki hiyo, Money became more important than praise, hence they didn't take poor people seriously.
My turning point was after a Fake pastor known as Gwajima mfufuaji , mfufuaji my foot, raised somebody from the dead and seeing his followers/misukule rejoicing.