The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
- Thread starter
-
- #21
Kuna siku msichana mmoja ambaye tulikuwa tunafanya naye kazi katika kupiga stori akaseme "My boyfriend is so boring and i don't know what to do" nilijisikia vibaya thou inawezekana alikuwa anasema ukweli kabisa
Kuna siku msichana mmoja ambaye tulikuwa tunafanya naye kazi katika kupiga stori akaseme "My boyfriend is so boring and i don't know what to do" nilijisikia vibaya thou inawezekana alikuwa anasema ukweli kabisa
Kiongozi ! Salama? Nifanyie uungwana niunganishe naye huyo... Maana ni kama kusukuma mlevi kwenye utelezi
Unaomba pumzi maiti......
Mtumishi, najua nina kesi ya kujibu. Shwari?
Make sure you reserve table for two you know what i mean
Ahaaa ahaaa Masa naona hauhitaji wale crack heads unaenda mdogo mdogo[/QUOTE]Kiongozi ! Salama? Nifanyie uungwana niunganishe naye huyo... Maana ni kama kusukuma mlevi kwenye utelezi
Unalaana ya Mchungaji.....house girl wa jirani ndiye mwenye lawama!
Hahahaha....afadhali, laana haijamwangukia baamedi wa jirani.
Fidel alimalizana naye bar maid kapoteza ajira!
Hahahaha...yule kijana lazima alimzawadia line ya tiGo, Meneja kakasirika.
Ahaaa ahaaa Masa naona hauhitaji wale crack heads unaenda mdogo mdogo
Ahaaa ahaaa Masa naona hauhitaji wale crack heads unaenda mdogo mdogo
GY alimkosea sana! Wadada wa hivyo ni vicheche pori!wale hawafugiki
GY alimkosea sana! Wadada wa hivyo ni vicheche pori!wale hawafugiki
Susy hebu twende PM ukanidadavulie huu mjadala unaoendelea hapa.
It cant be, there is always someone you just dont realise yetThats why me i love no body!
Dah!! Huyo yuko addictive ile mbaya na kweli haya makitu bana wewe unakuwa busy na BB yako hata haukumbuki kama kuna mtu uko naye[/QUOTE]Mkuu ila wanaume wengine kweli wanaboa wewe umekaa nae baa baada ya kukupa attention yote wewe yuko bize na forum, na hii forum inasababisha mengi mtaani hamjui tu.Kuna rafiki yangu kila siku anagombana na mpenzi wake wakitoka yeye na BB yake tu kusurf. kila thread yumo tu, lol