Why do women leave men?

Umenikumbusha mtoto wa shangazi yangu aliolewa nikiwa primary. Jamaa msomi miaka ya 80s ametoka ulaya. Basi yule mwanaume sisi tulikuwa tunamwona hana mvuto (sijuhi kwa nini maana sasa hivi nikimwangalia namuona wa kawaida tu). Sasa sister ni mtu wa kujisikia hivy kuua soo alikuwa anatumabia "shemeji yenu mbaya ila mimi nimependa position yake". Mpaka leo nakumbuka hilo neno "position yake". Sasa sijuhi kama ni kweli hakuwa na mapenzi kwa jamaa au alikuwa anatudanganya. Well mpaka leo wako pamoja na mtoto wao wa kwanza yuko chuo. Na katika ndugu zangu huyu dada amepata mume very caring na sijawahi sikia wana ugomvi mpaka sasa wanakribia kuzeeka. Mume anampenda mkewe kupita maelezo.

Opportunist wapo wengi tu ambao wanaanza kuchunguza what do you au how worth are you, then from there anaanza kuku-chase, critical thinking is what we lack
 
Ni kweli usemalo. Watu wengi mapenzi yakipungua kwenye ndoa baada ya kuwa wavumilivu, wana call it a day. Mimi nadhani kama mapenzi yanasua sua find something else to pass time with. Spend time with your beautifu kids. Mambo yakirudi kwenye mstari tunaendelea.

Banaa ehee naona LIKE na yenyewe ime disappear
 
Familia isiyo na watoto ni rahisi sana kutengana. Nimekumbuka niliwahi gombana na hubby. Nikawa nimakaa bed nalia, my first born was 2.5 years akaingia room akaanza kumwangalia hubby kwa jicho la kuuliza. Yaani nilijisikia vibaya nadhani na mwenzangu was feeling the same. Kwa hiyo kama kuna kids inasaidia kusukuma siku kwenye uhusiano aisee.
 
Katoto kalikuwa na instincts kali lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…