Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
who is dogo pKuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya
Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
Anamuita dogo wakati ni babu yake.😂😂😂😂who is dogo p
Pole pole ...yule ni Mzeewho is dogo p
Slowslow a modern snail.who is dogo p
Kwamba ubunge unamaslahi madogo kuliko ubalozi?Kuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya
Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
NIMEJUA NI NANI, THANKS!Slowslow a modern snail.
Acha nikujibu ...hiyo ni sera yetu mpya maana tungefanya figisu mama yenu mpumbavu angepata sababu kua amekwamishwa na sukuma gang . Sasa tumemuacha mama yenu bila ya bugudha yoyote ili ijulikane wazi kuwe ni zuzu hana akili yoyote ya kuongoza hata nguruwe .....hivyo kitendo cha kunyamaza kwa muda maalumu mumezidisha chuki kwa mama mwenyewe maana hakuna tena hoja ya sukuma gang kumkwamisha wote anao wachukia au sukuma gang kawaondoa serikalini ila mambo yanazidi kwenda vibaya UCHUMI UMEFIRISIKA KABISAKuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya
Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
Wewe ni jiniasi ....Huo ndiyo ukweli ..tunatumia mbinu ya daudi na logic ya kifungu hiki cha maandiko ...."mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"Mhe. Polepole hajawatelekeza, anatumia njia mbadala kuendeleza Harakati