Why Dogo P kawatekeleza mataga tangu apate shavu nchi jirani

Why Dogo P kawatekeleza mataga tangu apate shavu nchi jirani

Mboka man

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2020
Posts
478
Reaction score
1,647
Kuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya

Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
 
Unapokula unapaswa kutafuna kwa mahesabu.Usipofanya hivyo unaweza kukabwa na chakula,kuwatemea walio mbele yako au kufukuzwa mezani.
 
Kwa mtazamo wangu nadhani huu si mfumo sahihi wa uwasilishaji wa mada hasa ukizingatia sote tunatumia fake IDs na hadhi ya jamiiforums
 
Mhe. Polepole hajawatelekeza, anatumia njia mbadala kuendeleza Harakati
 
Kuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya

Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
Kwamba ubunge unamaslahi madogo kuliko ubalozi?
Sidhani kama kutolewa ubunge kupewa ubalozi ni kuongezwa maslahi.
Hata balozi anatamani kuwa mbunge.
 
Kila kijitu kilikuwa kinasumbul;iwa na njaa. Kuja magufuli akakipa ulaji, kikawa kisaliti Nambari ONE
 
Kuna siku niliwahi kuandika Uzi kuhusu dogo p sio mtu wa kumuamini basi wafuasi wake na wale mjomba walinishambulia sana kwa maneno hadi nikajiamuria kukaa kimya

Sasa Leo hii huyu dogo p kapewa shavu hapo nchi jirani saivi katulia mataga kimyaaaa
Acha nikujibu ...hiyo ni sera yetu mpya maana tungefanya figisu mama yenu mpumbavu angepata sababu kua amekwamishwa na sukuma gang . Sasa tumemuacha mama yenu bila ya bugudha yoyote ili ijulikane wazi kuwe ni zuzu hana akili yoyote ya kuongoza hata nguruwe .....hivyo kitendo cha kunyamaza kwa muda maalumu mumezidisha chuki kwa mama mwenyewe maana hakuna tena hoja ya sukuma gang kumkwamisha wote anao wachukia au sukuma gang kawaondoa serikalini ila mambo yanazidi kwenda vibaya UCHUMI UMEFIRISIKA KABISA
 
Mhe. Polepole hajawatelekeza, anatumia njia mbadala kuendeleza Harakati
Wewe ni jiniasi ....Huo ndiyo ukweli ..tunatumia mbinu ya daudi na logic ya kifungu hiki cha maandiko ...."mwanamke mpumbavu uvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe"
Kuna kamchezo sa100 na wahuni wenzie alikuwa anakacheza na kutaka kuendelea kukacheza....kamchezo kenyewe ni kakusingizia kukwamishwa na sukuma gang hivyo tukaona tukwepe huo mchezo tumwache afaye atakavyo ili sasa akichukiwa achukiwe bila ya visingizio vya kukwamishwa ...kama mtakumbuka kuna kipindi sa100 alikuwa ana sifiwa sana na kila jambo linatajwa kwa jina lake ili kumpa sifa awakujua kuwa ni kujichochea wenyewe maana jambo lolote likitajwa kwa jina lake kisha jambo hilo likawa bovu basi lina mwalibia yeye aliye tajwa ndiyo maana majuzi alisikika SA100 akilalamika kuwa kwanini kila kitu kinatajwa kwa jina lake...sifa za kipumbavu zimeanza kumtokea puani.
 
Back
Top Bottom