Why don't poems pay in Tanzania?

Why don't poems pay in Tanzania?

Jo Assistant

Senior Member
Joined
Jun 20, 2014
Posts
195
Reaction score
199
I'm a Tanzanian poet (basically writing English poems). Until now, I've written about 300 poems, since 2014.
I write poems about religion, education, lifestyles, birthdays, celebrations, events, leaders and society as well as poems about popular people.
I'm currently studying in university.

Do comment,
If needing to cement,
Do ask,
If needing to give me task.

IMG_20191231_001706_373.jpg
 
You can use your talent to earn more income. There are a lot of people who can sing but they can't manage to create their own verses. By becoming a freelancer you'll be able to work with those people and in return you earn some cash online.
 
Ili ukulipe lazma uwe na mikakati sio unaandika na kuweka kwenye whatsap status yako tu.

Je, umeshatafuta fursa ya stage performance? wenzetu wana genre yao kama ushairi inaitwa, spoken words art hebu imagine! wana recite kwenye stage wadau wanalipa kiingilio sembuse poetry?

Tengeneza poem zako kulingana na matukio husika pia kama kuna hafla ya kutangaza masuala fulani mathalani ama kuna matukio fulani ya kitaifa au yoyote yanayo trend na kuna washika dau lakini isiwe udaku ama mambo yasiyo na tija. Fanya hivyo ili ku capitalise attetion ya audience kubwa hata kama huna fursa ya kuwa na wadhamini wa kuanda shughuli yako mwenyewe unaweza ukaitwa ama ukaomba waandaji wa shughuli wakupe fursa uwe sehemu ya ratiba ktk halfa fulani.

Tafuta mchoraji mzuri wa picha halafu atengeneze picha ya mtu mashuhuri halafu pembeni yake unaandika ushairi unaomhusu huyo mtu, iweke kwenye frame nzuri hiyo picha. Lengo ni kwamba picha hii aiweke ukutani kwenye ofisi yake ama nyumbani kwake halafu omba appointment umuone anaweza inunua ama kukuunga mkono.

Idea zipo nyingi za kutengeneza pesa ila awali ya yote jisajili ktk mamlaka husika na sajili kazi zako zote na ulifahamu soko lako pia.
 
Mimi mpenzi Wa mashairi sana, watanzania tuko nyuma, fuata ushauri huo ulopewa Wa stage performance plus quoting picha za watu mashuhuri kisha waweka mistari yako unasambaza social media's.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana!
Nimefurahi kusikia kuwa wewe ni mpenzi wa mashairi.

Karibu sana uzione kazi zangu za ushairi;
Instagram: joseph_e_mshana
Whatsapp: 0743744471

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza poems ni nini?

Wewe unaona hata viongozi wetu wanavyopata changamoto na hiyo lugha alafu unatarajia kuungwa mkono, na nani hasa?
 
Kwanza poems ni nini?

Wewe unaona hata viongozi wetu wanavyopata changamoto na hiyo lugha alafu unatarajia kuungwa mkono...na nani hasa?
Nimekupata.

Binafsi nadhani kuwa vipindi vya darasani sekondari vinavyohusu mashairi (ktk masomo ya kiswahili na English) huwa havizingatiwi au wanafunzi wengi hawapo interested wanapondishwa. Matokeo yake ni kwamba sisi wachache tunaoishia kuwa interested na mashairi tunajikuta tupo wachache sana.

Kwa hiyo bado ni changamoto, ila tutafika tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika kiswahili na kama ww ni mzuri basi wazungu watakutafuta wenyewe. Kama hiyo "DO" ndio unaona umeandika basi kazi bado unayo sana. Mimi sio mtaalam wa lugha au ushairi lakini sijaona cha kunivutia kwenye huo utunzi wa 'DO"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa ulivyotumia poetic license kwenye heading yako mkuu kongole.
 
Andika kiswahili na kama ww ni mzuri basi wazungu watakutafuta wenyewe. Kama hiyo "DO" ndio unaona umeandika basi kazi bado unayo sana. Mimi sio mtaalam wa lugha au ushairi lakini sijaona cha kunivutia kwenye huo utunzi wa 'DO"

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa, nimekuelewa.
Kwa upande wangu, mashairi yangu yanahitaji kidogo chemsha bongo na kutafakari kwa undani ili kupata ujumbe.

NB: Huwa naandika mashairi ya kiingereza na kiswahili pia.

Angalia hili shairi[emoji1370] nililoliandika takribani wiki 2 zilizopita;-

WARAKA WANGU MUHIMU:
"TUFANYE NINI 2020?"

Tumevuka salama 2019, ashukuriwe Mungu.
Tu wazima katika TZ yetu huru,
Kwa kweli twakiri 'Ni kwa Neema tu'.
Cha kwanza tufanye nini mwaka huu?
Mimi na wewe "Tutubu".
Mengi majanga yamewapata wenzetu,
Na sasa yamewapata wakwetu.
Ajali na mauaji twaona na kupotezea tu,
Mvua na mafuriko twaona na kusikitika tu.
Yale ya Kenya, Libya, China na Congo yasije tupata huku.
Waulize wana wa Israeli kama huamini tu.
Machozi yetu yahusike na Turejee kwa Mungu.

Cha pili tufanye nini mwaka huu sasa?
Mimi na wewe "Tu'save chakula".
Mahindi, mpunga, maharage, ngano, tu'save sana.
Bila kusahau snacks, vingine tusindike na tuweke kwenye 'ghala'.
Tusisubiri hao nzige waingie shamba,
Tusisubiri yapite yale miaka saba.
Muulize Farao na Yusufu kama huamini sasa.
Tutazamie mana na wale kunguru? Tutumie akili inavyotupasa.

Cha tatu tufanye nini mwaka huu pia?
Mimi na wewe "Tushirikiane" pia.
Katika kazi na ajira tuwe na moja nia.
Kwani wachina walitupita kwa gani gia?
Kwani wahindi wameweza kurithishana kwa gani wosia?
Wahitimu wa mara-paap! acheni kuvuta hisia,
Wazee wa shortcut hakuna Kanaani pasipo kuumia,
Waalimu na serikali waandaeni watoto kuwa job-creators wasio bandia,
Vijana tuwe na round-tables za maana na tuache kudandia,
Tuunganishe na tushirikiane maarifa, ujuzi, vipaji na pesa, kwa ubia.
Tujifunze kwa 'chungu' washirikianao kwa asilimia mia.
Laiti tungejua siri iliyopo katika umoja wa nia.

Pia, angalia hili [emoji1370]shairi nililoliandika takribani wiki 4 zilizopita;-

L'envoy: LINDI FLOODS

Once lived happily ever after,
Until came tragedy - Lindi's raptor.
Floods' works was softer,
As if the creditor met its debtor.
Homes torn down - so bitter!
Everyone's now a survivor.

One week's time revolutionized things!
Catastrophe visited Majaliwa's province.
Now Nineteen and counting, aftermath brings.
To this emergency everyone seems a novice!
16 villages and 3774 households injured with floods stings,
God knows, but this wasn't their choice.

Now they're in uncalculated shortage,
Mattresses, food, clothes - needing basic needs.
More than fifteen thousand got nothing to mortgage,
The touched are to come and add to survivors' needs,
Until now there're no measures gauge,
And yes, babies and oldies need their feeds!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Andika kiswahili na kama ww ni mzuri basi wazungu watakutafuta wenyewe. Kama hiyo "DO" ndio unaona umeandika basi kazi bado unayo sana. Mimi sio mtaalam wa lugha au ushairi lakini sijaona cha kunivutia kwenye huo utunzi wa 'DO"

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ungependa kuziona kazi zangu, nakukaribisha...

Whatsapp: 0743744471
Instagram: joseph_e_mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
You are oit of your mind. Vipi, what about innovation?
 
Kuna mtu hapo juu kakushauri vizuri tu kulingana na uhalisia wa sasa ktk ulimwengu wa sayansi & technology, ila naona umempuuzia. Haya.
 
Back
Top Bottom