FJM......politically speaking.........the guy is "damaged goods" but does not mean he is beyond correction..............
By Rutashubanyuma
Ng'wamapalala who knows even damaged goods can be repaired...............you are certainly right.......Yes, Dr. Willbroad Slaa is damaged but not on such level you would like people to believe, but again, the party (CHADEMA) still intact while the CCM party is damaged as a whole.
CHADEMA has to realise the time is not in their hand. The question is this, are they thinking still have time to repair the damage taking into account, the issue of constitution, CHADEMA internal election and council election before general election.
As I have said before, it's still in their hand.
I disgree. Nenda mikoani ndio utaona tofauti kubwa! If any thing, mashambulizi dhidi yake yamethibitisha one thing: Ni tishio. Ongea na wakubwa wa upande wa pili (off record) kama ni wakweli watakiri.
NB: Kwenye point yako ya awali kuhusu CHADEMA kutopinga matokeo ya urais mahakamani, ni kifungu gani cha sheria kinaruhusu kufanya hivyo?
FJM TIshio au la.................linapimika kwa namna nyingi: Kauli, pia zinaweza kutupotosha. Katiba inasema ya kuwa NEC lazima izingatie sheria ya uchaguzi katika kumtanganza mshindi wa kugombea uraisi. Kama NEC haikufuata sheria tajwa na ushahidi upo Mahakama Kuu itakuwa tayari siku zote kupokea malalamiko, kuyachunguza na kuyatolea mamuzi kama itakavyoona inafaa....................Huo ndiyo msimamo wa Mahakama Kuu katika kesi ya Mrema na wenzie / 1996. Wanaotafsiri katiba ni Mahakama Kuu kwa hiyo tafsiri zenu za kijiweni hazina msaada la ajabu ibara hiyo hiyo yenye ibara ndogo ya kuzuia kufungua mashitaka dhidi ya matokeo ya Uraisi ndiyo hiyohiyo Mahakama Kuu walitumia Ibara ndgo kabla ya hiyo kutoa ufafanuzi. CDM wanapenda kuuhadaa umma.....lakini baadhi yetu siyo mateja
Ebu chunguza tena kipenge hiki alichobandika katika sababu yake ya #5
Ananikumbushia Prince Bagenda na mageuzi. Anaelekea huko huko.Hiyo mkuu inaonekana wazi, huyu ndugu yetu anageuka pole pole sijui ataishia wapi???
JokaKuu kuwa Raisi anaweza maana hatujui alichopangiwa na Muumba wetu........ila is he fit to govern?
Ndugu yangu,jifunze kutumia lugha yako,inapendeza sana,maana lugha za watu mnatumia maneno yanayobadili maana halisi ya neno na mwisho wa siku ulicho andika kinapoteza maana.
Nchi zote zinaotaka kuondoka katika utumwa,wamethamini na kuipa lugha yao kipaumbele.
Nenda China,Korea,Japan wote wanatumia lugha zao.
Naomba ungangane na Kiswahili.
Mara nyingi nimekuwa nikitamani sana kuchangia mijadala hii,lakini mgongano wa kimasilahi unanikwaza sana.
Ndugu yangu,jifunze kutumia lugha yako,inapendeza sana,maana lugha za watu mnatumia maneno yanayobadili maana halisi ya neno na mwisho wa siku ulicho andika kinapoteza maana.
Nchi zote zinaotaka kuondoka katika utumwa,wamethamini na kuipa lugha yao kipaumbele.
Nenda China,Korea,Japan wote wanatumia lugha zao.
Naomba ungangane na Kiswahili.
Rutashubanyuma,
This is a nice read but I must not doubt you are a plagiarist!! You have not been objective, you have been biased againt Dr. Slaa as a person and CHADEMA as a party. This is where you have failed, CCM is inflicting wounds on CHADEMA and is not on CCM, CUF, TLP and other parties (small mindedness creeps in here). You have failed to realize the differences between CCM and CHADEMA and other parties emanate from grievances people have over what are the right ways of doing this or that. You have failed to appreciate the blunders CCM has put us through. You have failed to see the need to a change, even from within CCM itself. For you, a different standard bearer by CCM is a change enough to propel us forward. It's not about change of ideologies, practices et al!!
Dr. Slaa is just ONE of those people (who think outside the box) and it's wrong to see that big group of people as carrying only HIS ways of doing things. In other words, it is right to say what is happening (right or wrong) is JK's way of doing things and he should not get away with it. Many times his sympathizers have come up with sick notes like "anashauriwa vibaya, watumishi wanamwangusha" and the like.
Reads like these will come and go before citizens go to the polls come 2015.
Mark my words. This country has changed, people have seen light. Wade of Senegal does not provide any lessons to Tanzanians, we have actually never learnt anything from anyone - this explains out state of affairs!!!
I just hope you will give us an opportunity to learn a thing or two about Prof. Lipumba, Dr. A. Mrema, J. Mbatia et al, too. Otherwise, the objectivity in your post is seriously lacking and probably we will have a chance to see your own work!!