The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Ukiwa kwenye jamiii ya kiafrika
Then , ukawa unajua kuongea na kuandika English nzuri sana , automatically unaonekana wewe ni msomi na unaakili sana kuliko wengine , mbali zaidi unaweza ukatengwa .
Asee huu ni upumbavu wa hali ya juu sana
In reality , Neo colonialism Bado inatutesa sana sisi ngozi nyeusi .
Mentally we are not yet independent..
Then , ukawa unajua kuongea na kuandika English nzuri sana , automatically unaonekana wewe ni msomi na unaakili sana kuliko wengine , mbali zaidi unaweza ukatengwa .
Asee huu ni upumbavu wa hali ya juu sana
In reality , Neo colonialism Bado inatutesa sana sisi ngozi nyeusi .
Mentally we are not yet independent..