Why even light can't escape in black hole horizon?

Why even light can't escape in black hole horizon?

_dan

Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
35
Reaction score
21
Awali ya yote niwatakieni heri ya chrismas na mwaka mpya.

Ndugu wanaJF kuna mada huwa naiona lakini nmeshindwa kabisa kuielewa, kama wengi tunavyofahamu kani ya uvutano ndio huvivuta vitu vyote kwenda katikati ya gimba( body ) hilo, namaanisha

F= mg
Where
F = gravitational force
m = mass of the body
attracted
g = acceleration due to
gravity ( attracting
body )

Sasa tukija kwenye upande wa vitu vyenye uzito, inasemekana mwanga ( light ) ni packets of energy na hazina uzito ( 0 )

Sasa mgogoro kwangu ni kwamba mwanga unapokalibia kwenye horizon ya blackhole hua hautoki, sababu ni kani ya uvutano karibu na blackhole ni kubwa sana yaweza kua millions times iliyopo hapa duniani

g ( black hole ) inaweza kua 10000000000000 × g( earth ~ 10);

Kwa hiyo kani ya uvutano ambayo mwanga utaipata
Ukirejea

F = mg
F = 0 × 10000000000( approximately )
F = 0 N.

Sasa kama mwanga utavutwa kwa kani ya 0 Newtons ina kuaje mwanga kushindwa kutoka kwenye blackhole, naomba msaada wajuvi......

Nawasilisha..
 
ngumu kumesa!
ila sidhani kama huku tumefikia maana black holes hakuna mtambo wa kibinadamu uliofikia na hiyo michoro ni man made maana ni black you can't see!.
huenda labda giza nalenyewe lina nguvu yake!.

wacha waje wanaojua lkn sidhani kama kuna majibu ya kumtoa nyoka pangoni.. let's wait
 
ngumu kumesa!
ila sidhani kama huku tumefikia maana black holes hakuna mtambo wa kibinadamu uliofikia na hiyo michoro ni man made maana ni black you can't see!.
huenda labda giza nalenyewe lina nguvu yake!.

wacha waje wanaojua lkn sidhani kama kuna majibu ya kumtoa nyoka pangoni.. let's wait
At least kama umeipata idea, i appreciate!
 
Kwa nini inaitwa black hole's.??
( kwa lugha rahisi taswira inatengenezwa machoni pako endapo tu miale ya mwanga imekimulika kitu hicho na kureflect kurudi machoni pako hapo ndo utakiona vinginevyo huwezi )
ntakupa mfano,

Ukiwa ndani ya chumba chenye giza na kina matobo kadhaa ni rahisi kumuona mtu aliepo nje ( nyakati za mchana ) kuliko wa nje kukuona wewe sababu hakuna miale inaokumulika wewe lakini yeye miale mingi ya jua inammulika na kureflect direct kwenye macho yako na kutengeneza taswira.

Point :
sababu ya kuitwa black hole ni sababu miale yote ya mwanga inayotumika( inayotumwa na wanasayansi ili kupata taswira ya black hole huwa hairudi, haireflect yote humezwa na black hole kwa hivyo taswira yake haijulikani, na kwa kifupi kitu ambacho hakionekani maana yake kipo gizani, kama utakua umenielewa kwenye mfano wangu hapo juu)
 
I like to think of this in terms ofescape velocity.

Escape velocity is the speed needed to escape the gravitational pull of a given object. For the Earth, that speed is 11.2 km/second (Mach 34!). When rockets blast off from Earth, they aren't trying to achieve a certain height or altitude, they're trying to reach a certain speed, the escape velocity.

Once a rocket reaches 11.2 kips*, it has attained the speed needed to leave the Earth completely. If a rocket fails to attain that speed, regardless of its height, it will fall back to the Earth. (You can imagine a magical balloon that slowly lifts you up into space, up past the ISS and most satellites, and then you let go: since you aren't going fast enough, you will fall back down, past all the satellites, and crash into the earth.)

Smaller gravitational bodies, like the moon, have smaller escape velocities. That's why the lunar landers were able to leave the moon with such a small ascent stage, compared to the massive Saturn V it took to leave Earth: they only had to go 2.4 km/second.



To escape the Sun, you'd have to go 617.5 km/second!

Fortunately for us, light goes faster than 617.5 kips, so we're able to see the light created on the Sun. However, as you increase the mass of an object, eventually the escape velocity would meet or exceed 299,792km/s, the speed of light. At that point not even light itself can go fast enough to escape the gravity well, and will always be pulled back down into the black hole.
 
Wacha niende beach kwanza nikachangamshe mwili na beach soccer, halafu nikirudi tutayamaliza mkuu..
 
I like to think of this in terms ofescape velocity.

Escape velocity is the speed needed to escape the gravitational pull of a given object. For the Earth, that speed is 11.2 km/second (Mach 34!). When rockets blast off from Earth, they aren't trying to achieve a certain height or altitude, they're trying to reach a certain speed, the escape velocity.

Once a rocket reaches 11.2 kips*, it has attained the speed needed to leave the Earth completely. If a rocket fails to attain that speed, regardless of its height, it will fall back to the Earth. (You can imagine a magical balloon that slowly lifts you up into space, up past the ISS and most satellites, and then you let go: since you aren't going fast enough, you will fall back down, past all the satellites, and crash into the earth.)

Smaller gravitational bodies, like the moon, have smaller escape velocities. That's why the lunar landers were able to leave the moon with such a small ascent stage, compared to the massive Saturn V it took to leave Earth: they only had to go 2.4 km/second.



To escape the Sun, you'd have to go 617.5 km/second!

Fortunately for us, light goes faster than 617.5 kips, so we're able to see the light created on the Sun. However, as you increase the mass of an object, eventually the escape velocity would meet or exceed 299,792km/s, the speed of light. At that point not even light itself can go fast enough to escape the gravity well, and will always be pulled back down into the black hole.
Safi sana, so ni nini hicho kinacho pull back light hadi isiweze kuescape?
 
Concept naiona ipo kwenye escape velocity, namaanisha hilo la light kushindwa kutoka kwenye black hole ni swala la energy, light inapotua kwenye black hole hukosa energy ya kutosha ya kuescape black hole
 
Mkuu Mwanga sio kwamba haina mass no inayo sema ni haiko considered kwa vile ni kidogo sana ni kama ilivo Electron mass yake ni negligence, Black hole hizi hukusanya vitu vingi Vingi sana haswa mlipuko Wa Nyota, Gravity yake ni Super ndio mana hakna kitu kinaweza ku espace apo
 
hilo somo mifano mingi force haitafutwi kwenye Mwanga. nguvu nyingi za kwenye mwanga hupimwa kwa velocity inayoelewek.
 
Mkuu Mwanga sio kwamba haina mass no inayo sema ni haiko considered kwa vile ni kidogo sana ni kama ilivo Electron mass yake ni negligence, Black hole hizi hukusanya vitu vingi Vingi sana haswa mlipuko Wa Nyota, Gravity yake ni Super ndio mana hakna kitu kinaweza ku espace apo
Hapo mkuu sio kweli mwanga ni packets of energy, na energy haina mass

Kumbuka formula ya einstein

E=MC^2
 
hilo somo mifano mingi force haitafutwi kwenye Mwanga. nguvu nyingi za kwenye mwanga hupimwa kwa velocity inayoelewek.
Funguka zaidi mkuu, sijaelewa unachomaanisha
 
Hapo mkuu sio kweli mwanga ni packets of energy, na energy haina mass

Kumbuka formula ya einstein

E=MC^2
Mkuu mwanga unatokea baada ya Atom Kuwa excited na apo ina emit photon ambazo later on zinakuwa Mwanga usiseme hazina mass je umewah kutumia Mass ya Electron popote?
Modern physics kuna vitu vinakuwa vigumu kuelezeka ila Quanta ndio inakuja kutoa majibu
 
Mkuu mwanga unatokea baada ya Atom Kuwa excited na apo ina emit photon ambazo later on zinakuwa Mwanga usiseme hazina mass je umewah kutumia Mass ya Electron popote?
Nakusahihisha kidogo, ni electron inapotoka kwenye high orbit state kwenda kwenye low orbit state ( excite ) kwa hiyo ile extra energy inatolewa kama light
 
Back
Top Bottom