ahahahahaha...hapa patamu...anyway..kuwa mkweli kabsaaa...mie kiingereza/kizungu kilishanishinda toka zamaniii...ndio maana nikaamua kusoma sayansi wao waingereza wakasoma art subjects...maana kiingereza cha sayansi na hesabu hakina-longolongo miiingi...therefore, hence, simple like a,b,c....
hapana mi-habari ya future pati-sipo present tenses wala nouns, preverbs, adjectives... etc... sema huku niliko eti naambiwa niongee kiingereza...mie najua tu what is your name?...where r u comming from, ....
mambo ya kujieleza na kuandika yanatia-hasira plus kuaibishana bureee na milugha ya watu....mbona wachina hawajui kiingereza ila sio issue ...mie mtz ndio inakuwa tatizo az if sijui wimbo wa taifa?