Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Nililimwa bloku ya mwezi mzima baada ya kuzingua PAKUBWA. Wakati nakata tamaa mazima nakuja kugundua kuwa kumbe nilishakuwa unblocked kama wiki mbili hizi zilizopita; na mimi wala sikujua. Wanawake akili zao sometimes wanazijua wenyewe tu!WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
πππππKupendana raha yn ni km vile asali tamu na kauchungu kwa mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiii
SawaUandishi wako umekaa kike kike sana
Pole sana mkuu hivyo ndivyo watanzania walivyo. Huwaga hawawezi kabisa kuchanganua mambo. Wewe umeuliza swali, instead of giving the answers to the questions, they are talking about the question.Sio kwamba wewe ndio hujielewi mkuu? Swali nimeuliza " why has she un-blocked me"? Badala ya kujibu swali wewe unakuja na kunizungumzia Mimi tena.
LIKUD nisaidie kuwaelewesha hawa viumbe wazito
Usisahau kunitag mkuuPole sana mkuu hivyo ndivyo watanzania walivyo. Huwaga hawawezi kabisa kuchanganua mambo. Wewe umeuliza swali, instead of giving the answers to the questions, they are talking about the question.
Wana akili kama za Yona, Mungu alimwambia nenda Nineveh, badala ya kwenda Nineveh yeye akaenda Tarshish.
Ndio hawa wanao kujibu. Wewe umeuliza swali. Badala ya kukupa jibu la swali lako, wao wanakupa wosia.
Ngoja baadae nitakuja kukupa mtazamo wangu kuhusu kwanini ameku unblock
NakaziaMkikua mtaacha
Mkuu hakuna mtu anajua saikilojia ya mwanamke na atafanya nini dakika tano zijazo Mungu aliyetuumba aliishia kuwaambia muishi na sisi kwa akiliMy brother LIKUD naomba uje unisaidie mawazo yako tafadhali maana wewe ni moja kati ya watu ambao wapo so much open minded humu Jf.
I have a very deep respect of how you think and how you see things.
Mimi nimeuliza swali " why do u think she has unblocked me " na nimeweka na scenario yangu. Watu badala ya kujibu swali langu wanaanza tena kunipa ushauri wa mahusiano.
Mimi nataka tu kupata mawazo ya watu smart. Watu wanao jua saikolojia ya wanawake. Why has she un-blocked me.
Sijauliza whether she loves me or not or whether she is faithfully or not.
Or whether I am right or wrong. I just want to know why has she un-blocked me, based on my scenario.
Karibu mkuu
Kwa sababu umeamua kuwa mjinga wa mapenzi ngoja tukuache.yaendelee kukuchakazaShe is my soulmate..
As a general rule. Siwezi kabisa kutoka na single mother but she is an exception. Nahisi ana nyota yangu nikiwaga nae huwaga nabutua sana . Nimefanya nae vitu vingi sana nimemsaidia vitu vingi sana amenisaidia vitu vingi sana ..
Moja kati ya vitu ambavyo amenifudisha. She has taught me how to be a real man.
Being a real man ni pale mwanaume unapokuwa na uwezo wa kuendelea kumpenda mwanamke licha ya maudhi yake. ( wanawake mna maudhi sana nyie)
Sasa huyu mwanamke amenifudisha kuvumilia maudhi ya mwanamke. Kwangu ni kitu kikubwa sana hicho sikutegemea on earth kwamba siku moja nitakuja kuwa na uwezo wa kuvumilia maudhi ya wanawake.
Sio kweli.Mkuu hakuna mtu anajua saikilojia ya mwanamke na atafanya nini dakika tano zijazo
Alisema wapi?Mungu aliyetuumba aliishia kuwaambia muishi na sisi kwa akili
We huogopi?
Ni wivu tu unao wasumbua. Mnanionea wivu ninavyo pendwa.Ati ukahisi anataka kuongea na weweππ
Nani anataka kuongea na wewe bwana ππ
Wewe hujiamini tu ndo tatizo lako
kaza hizo ngekele ingia chimbo tafuta mali mpya plate no.EF... tukutane kwenye harusi uishi kwa amani
Unaleta ufilipino wa kitoto eti mnacomunicate telepathically
Kwamba mkeo Professor X wa X men au πππ
Unahadithia na vingereza vingi humo humo na hadi chuo umeenda unakuja kusumbuliwa na simple things
Bladiful
What is this man
Man up!
She is the only person that has an answer to your question.WHY HAS SHE UNBLOCKED ME? WITHOUT LETTING ME KNOW THAT SHE HAS UNBLOCKED ME?
Mapenzi sometimes yanawafanya watu kuwa kama hamnazo hivi πππππila hapo kwenye kuwasiliana telepathically nimecheka sana hebu fafanua