Mwenye picha za juu na mwenye passport ni mtu yuleyule? RIP karungi.Karungi Monic a.k.a Mona kizz katika mitandao ya kijamii amejiua kwa kujirusha kutoka ghorofani huko Dubai.
Wiki hii Dubai imetrend sana 🙄
R.I.P
View attachment 2207944
View attachment 2207945
View attachment 2207946
Utakutana nae kule kuzimuniMbona sijaona MTU aliyemsukuma hapo mkuu?
Dunia nzima watu wengi wanaenda Dubai,wewe endelea kutafuna muhogo mbichi hapo chini ya muembe kwenu huko Manyovu na chuki zako zinazokutesa.Alikosa nchi za kwenda hadi akaishi uarabuni?
Nchi za waarabu ni za hovyo sana
Kuna watu wanaendeshwa na chuki ila chakufurahisha hizo chuki zinawatesa wao wenyewe.Sasa Dubai kosa lake ni nini hapo? Mbona kila nchi watu hujiua, hata hapa tz majuzi tu mtoto wa miaka 12 nilisikia kajinyonga.
Kwasababu ya jina la hiyo ID yako.sijui kwanini naogopa kukaa gorofani.yaani nikiangalia magorofa uwa nawaza mambo mengi Sana.
uwa nahisi kuna kitu kibaya kinaweza kutokea
Dubai is best place stress za mtu isiwe sababu ile nchi pesa tu ukifika tu watu wananukia pesa hao wazungu tu dream kwenda kufanya kazi pale.Shida ni kujirusha ama shida ni Dubai?..
Unajua kamilioni alijulisha toka juu ya ghorofa akiwa Uganda?
Kama mimi nimeshangaa ila nimejifunza kitu nikitaka mchumba naomba picha ya passport ndio nifanye uamuzi.Mwenye picha za juu na mwenye passport ni mtu yuleyule? RIP karungi.
RIP.Kuna ile ya mfanyakazi wakiAfrica nusu afe pia ilitrend sana huko Uarabuni mke wa muarabu alimuamuru ajirushe laasivyo anamuua dada wa watu akajirusha sema aliangukia Kwenye gari aliishia kuumia tu.Baadhi ya waarabu sijui wanaroho gan aisee!
Pesa za Dubai chanzo ni hao wazungu. wazungu wamewekeza in bulk Dubai hali inayofanya pesa iwe nje.Dubai is best place stress za mtu isiwe sababu ile nchi pesa tu ukifika tu watu wananukia pesa hao wazungu tu dream kwenda kufanya kazi pale.
Kwasababu ya jina la hiyo ID yako.
[emoji1787]