Why in Dubai

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hivyi mnatoaga wapi maneno?
Nishakua nyani mzee...🀣
Sasa naona huyu kijana anataka kulazimisha matumizi ya mua eti mkongoji kwenye safari ndefu...πŸ˜‚
 
Nishakua nyani mzee...🀣
Sasa naona huyu kijana anataka kulazimisha matumizi ya mua eti mkongoji kwenye safari ndefu...πŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Apumzike kwa Amani Mona binti mdogo sana ndio kwanza 24.


Wadada wengi huko Dubai wanauza uchi na one thing kuhusu kuuza uchi you're treated like an animal. Ukiuza uchi kubali tu kua animal tu, ila kuuza uchi na kua respected na wateja wako hiko kitu hakiwezi kutokea.
 
Weka iyo video mkuu, halafu mbona majanga mengi yanawakuta wanawake tu huko arabuni??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…