Why Internet is so expensive with Cellular Companies?

Why Internet is so expensive with Cellular Companies?

Ibrah

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2007
Posts
2,730
Reaction score
530
Wadau, nilinunua moderm ya Airtel ili nitakapokuwa kijijini niendelee kupata mawasiliano ya Internate kupitia Laptop yangu. Kwa kweli sijaona faida yoyote maana ukinunua airtime ya elfu kumi, baada ya siku mbili umekatika.

Nimekuja kugundua kuwa gharama zao za internet ziko juu sana? Je, ni kwa nini? Mbona naona kama isngepasa kuwa hivyo maana kwao ni alternative business baada ya ile ya kulonga longa.
 
Wanafanya hvyo kuencourage watu wanunue bundle. Ukinunua bundle utashangaa speed nayo inakuwa chini. Sijui lipi bora.
 
Tumia tgo kfurush cha 450 cku 2 no limit of surfing
 
Yes its better ununue kifurushi cha tgo mana nafurhia sana huduma ya tgo
 
Hiyo elfu kumi unapata Mb ngapi?
Nenda Tigo au nenda voda 30,000/mwezi unlimited, spidi ya inatosha kwa mawasiliano ila sio kwa heavy downloading au video.
 
Back
Top Bottom