WHY IS RUSSIA ANNEXED AND INTEGRATED CRIMEA IN ITS FEDERATION?

WHY IS RUSSIA ANNEXED AND INTEGRATED CRIMEA IN ITS FEDERATION?

Dr Count Capone

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,878
Reaction score
3,263
Wanajamvi,ni yangu imani kuwa mko poa,binafsi naamini hakuna nchi kubwa inaweza fanya mambo bila sababu za msingi na zenye faida kwao aidha kisiasa,kijeshi ama kiuchumi.hivyo basi,kwa wanaofahamu motive reasons behind Russian annexation of Crimea Tafadhali tujuzane.
ahsante.
 
Kiuchumi ,kiusalama ,kimkakatti Crimea ilikua nisharit iwe chin ya Russia.

Ukumbukd Crimea ilikua Urusi. Baada ya Muungano wa Usoviet, Rais Nikta akaipa Ukraine iyo ardhi kama sehem yakuonyesha Umoja

Sasa kuanguka kwa usoviet na kupanuka kwa NATO kuelekea Urusi ndiko kukaanza kutoa Onyo la wasiwasi

Marekan, kutumia zaidi ya Dola Bilion 12 kuhakikisha inautoa utawala ulokua unaegemea wa ukraine ulokua unaelekea Urusi, kukazidi kutia wasi, naukumbuke hizo ndo mbinu wanazotumia kujitanua kijeshi.

Putin akashtuka, kuiacha Ukraine yote iwe chin ya NATO ni hatare sana, ndio kwanza akaichukua Crimea, kuichukia Crimea maana yake umeichukua Baltic Sea ,Sehem ya Bahar ambayo NATO walikua wanainyapia kwa nguv.

Kuichukia Crimea in a long run maana yake Urusi inauwezo wa kuishambulia Ulaya na Nato kutokea hapo hapo wakati huo ikijilinda kutokea hapohapo nakupunguza Uharibifu Moscow.

Kufupisha story ,Crimea ni sehem muhimu ya kijeshi na kimkakati kwa mpango wa muda mrefu nahata mifupi mifupi .

Ujue tu US na NATO hawajawah kuipenda Urus, waliingusha USSR lkn mpaka leo wanataman waiangushe Urusi... So usishangae kila siku wakitafuta Mbinu za kumfunga huyu Dubu minyororo ,kisha wamng'oe meno yake.
 
Historically Crimea was part of Russia,before a drunk president gave it to Ukraine,I don't remember his name but he was a Ukrainian.
It is also military strategically located due to its proximity to Europe,so letting it to fall to NATO would have been a setback to Russia.
It is the only warm port for Russia because it doesn't freeze during winter,makes it very important for Russian naval base
 
Kiuchumi ,kiusalama ,kimkakatti Crimea ilikua nisharit iwe chin ya Russia.

Ukumbukd Crimea ilikua Urusi. Baada ya Muungano wa Usoviet, Rais Nikta akaipa Ukraine iyo ardhi kama sehem yakuonyesha Umoja

Sasa kuanguka kwa usoviet na kupanuka kwa NATO kuelekea Urusi ndiko kukaanza kutoa Onyo la wasiwasi

Marekan, kutumia zaidi ya Dola Bilion 12 kuhakikisha inautoa utawala ulokua unaegemea wa ukraine ulokua unaelekea Urusi, kukazidi kutia wasi, naukumbuke hizo ndo mbinu wanazotumia kujitanua kijeshi.

Putin akashtuka, kuiacha Ukraine yote iwe chin ya NATO ni hatare sana, ndio kwanza akaichukua Crimea, kuichukia Crimea maana yake umeichukua Baltic Sea ,Sehem ya Bahar ambayo NATO walikua wanainyapia kwa nguv.

Kuichukia Crimea in a long run maana yake Urusi inauwezo wa kuishambulia Ulaya na Nato kutokea hapo hapo wakati huo ikijilinda kutokea hapohapo nakupunguza Uharibifu Moscow.

Kufupisha story ,Crimea ni sehem muhimu ya kijeshi na kimkakati kwa mpango wa muda mrefu nahata mifupi mifupi .

Ujue tu US na NATO hawajawah kuipenda Urus, waliingusha USSR lkn mpaka leo wanataman waiangushe Urusi... So usishangae kila siku wakitafuta Mbinu za kumfunga huyu Dubu minyororo ,kisha wamng'oe meno yake.
Ukraine ndo nafikiri itakuwa chanzo Cha WWIII....maana Ni nchi muhimu kweli kiusalama kwa URUSI
 
Ukraine ndo nafikiri itakuwa chanzo Cha WWIII....maana Ni nchi muhimu kweli kiusalama kwa URUSI
Hapana kwasasa hamna vita yoyote itakayokuja kutokea, km nivita ingetokea kupitia US - North Korea....ay US-Russia kupitia Syria.

Mzozo wa Ukraine muda mfupi ujao utapata mwafaka wa kidplomasia .

Shida nimoja, US nitaifa la mipango ya muda mrefu ,tofauti namataifa mengine duniani.
 
Hapana kwasasa hamna vita yoyote itakayokuja kutokea, km nivita ingetokea kupitia US - North Korea....ay US-Russia kupitia Syria.

Mzozo wa Ukraine muda mfupi ujao utapata mwafaka wa kidplomasia .

Shida nimoja, US nitaifa la mipango ya muda mrefu ,tofauti namataifa mengine duniani.
Tatizo anachokifikir Marekani kuikifanya Urusi alishakifikir miaka kumi nyuma ndo maana utawala wa Washington huwasifia warusi wana akili kubwa Sana ila tatizo lao huwa Ni uchumi tu....na Kama si Urussi duniani tungekuwa tumeshatawaliwa na Marekani Toka miaka ya 90....Urusi anamnyima usingizi mmarekani...[emoji23] [emoji23]
 
Sana nakuunga mkono
Tatizo anachokifikir Marekani kuikifanya Urusi alishakifikir miaka kumi nyuma ndo maana utawala wa Washington huwasifia warusi wana akili kubwa Sana ila tatizo lao huwa Ni uchumi tu....na Kama si Urussi duniani tungekuwa tumeshatawaliwa na Marekani Toka miaka ya 90....Urusi anamnyima usingizi mmarekani...[emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom