Why JamiiForums drive me crazy

Why JamiiForums drive me crazy

Rhz4567

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2018
Posts
4,893
Reaction score
6,599
Binafsi mimi nisipo peruzi jf huwasijisikii vizuri kabisa nimekuwa mwanajf Kwa muda mrefu Sana pia nitaendelea kudumu jamii forums
 
Binafsi mimi nisipo perezi jf huwasijisikii vizuri kabisa nimekuwa mwanajf Kwa muda mrefu Sana pia nitaendelea kudumu jamii forums
Aiseee kwa kasi ya uzi kufutwa hiv bado unaupata utamu ule ule ?? Ama umekosa option?
 
Hahahahhaa mm saa 24 nilihaha,, kinachoboa ni pale umeona uzi unataka kucomment unashindwa [emoji23][emoji23]
Angalao wangekuwa wanawasiliana na muhusika mwenyewe inbox na kumshauri mhusika mwenyewe afute posti yake, akikataa ndiyo wampige ban
 
Angalao wangekuwa wanawasiliana na muhusika mwenyewe inbox na kumshauri mhusika mwenyewe afute posti yake, akikataa ndiyo wampige ban
Teh,, si rahis hivyo wanakazi nying sasa hiv yan batan ya ban na ya kufuta nyuzi kwao ndio ziko bize balaa
 
'Everything too much is harmful'
Nashukuru Mungu sinaga ulevi huo.
 
Back
Top Bottom