Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
UJUMBE WA LEO

1 Samueli:12.20

"Samweli akawaambia, Msiogope; ni kweli mmeutenda uovu huu wote; lakini msigeuke na kuacha kumfuata BWANA, bali mtumikieni BWANA kwa mioyo yenu yote."

Mpendwa karibu tena siku hii ili tuweze kutafakari ujumbe huu.
Pamoja na maonyo makali Samweli aliyowapa watu wake juu ya uovu waliomtenda MUNGU, bado anawakumbusha huruma ya MUNGU, kwamba wakiishi maisha ya toba ya kweli MUNGU aweza kuwakubali tena.
Uovu wako usikukatishe tamaa bado MUNGU aweza kukupokea tena, ili mradi uyaishi mapenzi yake baada ya toba.
Mpendwa unapotubu na kuishi katika kusudi la MUNGU unayaandaa maisha ya uzima wa ulimwengu ujao.
Kila wakati tambua hapa ulipo unaishi kwa kitambo kidogo,mawazo yote yawe kwenye uzima ule wa ulimwengu ujao.

MUNGU AKUBARIKI

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…