Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
Nakusalimia ndugu yangu[emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji780] [emoji780] [emoji780] [emoji780]
 
Naona unabii tayari umekwisha kutimia hasa unapoona ahadi ilikuwa waachiwe Nchi wainyoloshe kwa kutumbua majipu na walidai mengine yanawapasukia usoni!

Wakawajaza maprofesa na madokta waliosheheni makabrasha sasa wanawanyoshelea vidole wateuliwa wao yaani ni kuwarushia lawama kushoto na kulia

Nyerere alidharau maoni ya wananchi mwisho wake ulikuwa ni aibu na hawa sioni watachomolea wapi.
Huyu Nabii anasubiri wakati uthibitishe maono yake
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…