Why me?

Why me?

sika

Member
Joined
Oct 5, 2009
Posts
21
Reaction score
0
Mambo vipi wana JF.

Naombeni ushauri wenu nilikuwa na demu wangu ambaye tulipendana sana ila siku moja ilitokea missunderstanding kati yangu na yeye ambayo ilisababisha mawasiliano baina yetu, hivyo kunipelekea mimi kutafuta demu mwingine wa kunipooza machungu

Chanzo cha haya matatizo yote ni huyu demu mwingine kwani alishawahi kuniambia endapo nitakuja kumwacha ataniloga niliamini hvyo kwn kuna cku moja nilimkuta na hirizi ambapo nilipomuuliza aliniambia alipewa alipokuwa anaumwa, nikamuuliza si umeshapona vp bado unayo akanipa maelezo ambayo hayakuniridhisha na hivyo kuamua kumuacha kwa kumwambia kuwa naomba muda wa kuwa peke yangu, akaniuliza kuwa niesharudiana na demu wangu wa awali, nikajibu hapana. Lakini ukweli ni kwamba nimerudiana na demu wangu.

Tatizo ni kwamba tangu nirudiane na huyu demu wangu nimekuwa nashinwa kwenda round tatu. Je, yawezekana yule demu ni kweli ameniloga? Nilishampiga stop kuwasiliana na mimi kwa kuhofia kunigombanisha na demu wangu, lakini kwa sasa natamani nimuombe msamaha kama ni yeye kweli lakini nashindwa jinsi ya kumuanza

So wana JF naombeni ushauri wenu kwani naumia kisaikolojia.
 
imebidi nicheke tu...MJ1,Agika,Carmel,Msindima,VC jamani njooni mumpe kijana ushauri huku....
 
Mambo vipi wana JF.
Salama, na Karibu!
Nilikuwa na demu wangu ambaye tulipendana sana ila siku moja ilitokea missunderstanding kati yangu na yeye ambayo ilisababisha mawasiliano baina yetu, hivyo kunipelekea mimi kutafuta demu mwingine wa kunipooza machungu
Kwa hapa tu ushanikatisha tamaa! Umeambiwa wanawake ni wa kupooza machungu? Kivipi? Wewe unaleta mjadala ndani ya mjadala! Huyo ulomwendea ulimwambia kuwa kazi yake ni kukupoza machungu baada ya kuachwa?
Chanzo cha haya matatizo yote ni huyu demu mwingine kwani alishawahi kuniambia endapo nitakuja kumwacha ataniloga niliamini hvyo kwn kuna cku moja nilimkuta na hirizi ambapo nilipomuuliza aliniambia alipewa alipokuwa anaumwa, nikamuuliza si umeshapona vp bado unayo akanipa maelezo ambayo hayakuniridhisha na hivyo kuamua kumuacha kwa kumwambia kuwa naomba muda wa kuwa peke yangu, akaniuliza kuwa niesharudiana na demu wangu wa awali, nikajibu hapana. Lakini ukweli ni kwamba nimerudiana na demu wangu.
Kha! Sasa unaona athari ya kutafuta vipoozeo? Umeoa? Bado msela? Kama ukioa kamwe usikimbilie kutafuta mwanamke nje ati ndo atakupunguzia matatizo katika ndoa, unaongeza matatizo juu ya tatizo. Nafurahi yalikukuta haya! Safi sana, ni ili ujifunze. Wala sishangai kusikia ulimkuta na hirizi, labda alikupata hata wewe kwa hirizi. Uliyemkimbilia ukamwacha ukarudi ulikotoka, sasa huoni wewe ni mchafuzi mkuu?

Tatizo ni kwamba tangu nirudiane na huyu demu wangu nimekuwa nashinwa kwenda round tatu. Je, yawezekana yule demu ni kweli ameniloga? Nilishampiga stop kuwasiliana na mimi kwa kuhofia kunigombanisha na demu wangu, lakini kwa sasa natamani nimuombe msamaha kama ni yeye kweli lakini nashindwa jinsi ya kumuanza
What's round tatu? Ili iweje?

Inaelekea una kamchezo hako sana mkuu, kaache mara moja!

Kamwombe msamaha kwanza uliyekuwa naye awali, usimfiche, mweleze ukweli ambao najua wazi utakugharimu, kisha ukishamwomba msamaha na kumweleza ukweli wa mambo ACHA mara moja tabia hii chafu itakupeleka pabaya sana na utawaua wengi.

Kisha, kamwone huyo uliyemwendea kama kipoozeo, mweleze ukweli wa mambo na mwambie makosa yako, usifiche, kinachoweza kuwa kinakuathiri si hirizi, ni hisia zako chafu juu ya hirizi yenyewe uliyoiona.

Aidha, kama uko kwenye ndoa, moja ya vitu vinavyopelekea mwanaume kukosa nguvu ni msongo wa mawazo. Msongo huu wa mawazo unaweza kutokana na kutokamilisha mambo kadhaa, mfano; kutomaliza kazi za kiofisi, kutokamilisha kazi zako binafsi na ukawa unajua unadaiwa kumalizia, kutokuwa na pesa mfukoni n.k.

Njia mbadala ya kupunguza mambo haya ni kuhakikisha unafanya jambo moja kwa wakati. Ukiwa na mwenzi wako ACHA kufikiria lolote juu ya mambo kama haya, kama wewe ni mzee wa vicheche basi nayo ni athari kubwa sana, unakuwa unafanya tendo hilo ukiwa na mawazo kuwa unaiba na hivyo daima utakuwa na wasiwasi. Jiepushe na uzinzi, kuwa na mmoja unayempenda, kama hamjaoana kaoe. Itakusaidia kuepukana na upuuzi wa kuwa rambaramba.

Ningeandika zaidi lakini, post yako haijakaa vema, sipendekezi kuwa tabia kama hizo... Nashauri jaribu kubadilika, muda unao, ukiamua unaweza!
 
Na utalogwa sana! Babu yangu aliniusia kuwa ukishaamini kulogwa hata kuku atakuloga.
 
salama, na karibu!
Kwa hapa tu ushanikatisha tamaa! Umeambiwa wanawake ni wa kupooza machungu? Kivipi? Wewe unaleta mjadala ndani ya mjadala! Huyo ulomwendea ulimwambia kuwa kazi yake ni kukupoza machungu baada ya kuachwa?
Kha! Sasa unaona athari ya kutafuta vipoozeo? Umeoa? Bado msela? Kama ukioa kamwe usikimbilie kutafuta mwanamke nje ati ndo atakupunguzia matatizo katika ndoa, unaongeza matatizo juu ya tatizo. Nafurahi yalikukuta haya! Safi sana, ni ili ujifunze. Wala sishangai kusikia ulimkuta na hirizi, labda alikupata hata wewe kwa hirizi. Uliyemkimbilia ukamwacha ukarudi ulikotoka, sasa huoni wewe ni mchafuzi mkuu?


What's round tatu? Ili iweje?

Inaelekea una kamchezo hako sana mkuu, kaache mara moja!

Kamwombe msamaha kwanza uliyekuwa naye awali, usimfiche, mweleze ukweli ambao najua wazi utakugharimu, kisha ukishamwomba msamaha na kumweleza ukweli wa mambo acha mara moja tabia hii chafu itakupeleka pabaya sana na utawaua wengi.

Kisha, kamwone huyo uliyemwendea kama kipoozeo, mweleze ukweli wa mambo na mwambie makosa yako, usifiche, kinachoweza kuwa kinakuathiri si hirizi, ni hisia zako chafu juu ya hirizi yenyewe uliyoiona.

Aidha, kama uko kwenye ndoa, moja ya vitu vinavyopelekea mwanaume kukosa nguvu ni msongo wa mawazo. Msongo huu wa mawazo unaweza kutokana na kutokamilisha mambo kadhaa, mfano; kutomaliza kazi za kiofisi, kutokamilisha kazi zako binafsi na ukawa unajua unadaiwa kumalizia, kutokuwa na pesa mfukoni n.k.

Njia mbadala ya kupunguza mambo haya ni kuhakikisha unafanya jambo moja kwa wakati. Ukiwa na mwenzi wako acha kufikiria lolote juu ya mambo kama haya, kama wewe ni mzee wa vicheche basi nayo ni athari kubwa sana, unakuwa unafanya tendo hilo ukiwa na mawazo kuwa unaiba na hivyo daima utakuwa na wasiwasi. Jiepushe na uzinzi, kuwa na mmoja unayempenda, kama hamjaoana kaoe. Itakusaidia kuepukana na upuuzi wa kuwa rambaramba.

Ningeandika zaidi lakini, post yako haijakaa vema, sipendekezi kuwa tabia kama hizo... Nashauri jaribu kubadilika, muda unao, ukiamua unaweza!

well said invisible.
 
Sika we kiboko! sasa round 2 hazikutoshi mpaka unataka 3? unafanyia starehe au kukomoa? aaah ktk starehe ya kawaida 2 zinatosha saaaaana tu! usiendekeze round utajiumiza tu na haujalogwa wewe sema una hulka ya round!
 
Salama, na Karibu!
Kwa hapa tu ushanikatisha tamaa! Umeambiwa wanawake ni wa kupooza machungu? Kivipi? Wewe unaleta mjadala ndani ya mjadala! Huyo ulomwendea ulimwambia kuwa kazi yake ni kukupoza machungu baada ya kuachwa?
Kha! Sasa unaona athari ya kutafuta vipoozeo? Umeoa? Bado msela? Kama ukioa kamwe usikimbilie kutafuta mwanamke nje ati ndo atakupunguzia matatizo katika ndoa, unaongeza matatizo juu ya tatizo. Nafurahi yalikukuta haya! Safi sana, ni ili ujifunze. Wala sishangai kusikia ulimkuta na hirizi, labda alikupata hata wewe kwa hirizi. Uliyemkimbilia ukamwacha ukarudi ulikotoka, sasa huoni wewe ni mchafuzi mkuu?


What's round tatu? Ili iweje?

Inaelekea una kamchezo hako sana mkuu, kaache mara moja!

Kamwombe msamaha kwanza uliyekuwa naye awali, usimfiche, mweleze ukweli ambao najua wazi utakugharimu, kisha ukishamwomba msamaha na kumweleza ukweli wa mambo ACHA mara moja tabia hii chafu itakupeleka pabaya sana na utawaua wengi.

Kisha, kamwone huyo uliyemwendea kama kipoozeo, mweleze ukweli wa mambo na mwambie makosa yako, usifiche, kinachoweza kuwa kinakuathiri si hirizi, ni hisia zako chafu juu ya hirizi yenyewe uliyoiona.

Aidha, kama uko kwenye ndoa, moja ya vitu vinavyopelekea mwanaume kukosa nguvu ni msongo wa mawazo. Msongo huu wa mawazo unaweza kutokana na kutokamilisha mambo kadhaa, mfano; kutomaliza kazi za kiofisi, kutokamilisha kazi zako binafsi na ukawa unajua unadaiwa kumalizia, kutokuwa na pesa mfukoni n.k.

Njia mbadala ya kupunguza mambo haya ni kuhakikisha unafanya jambo moja kwa wakati. Ukiwa na mwenzi wako ACHA kufikiria lolote juu ya mambo kama haya, kama wewe ni mzee wa vicheche basi nayo ni athari kubwa sana, unakuwa unafanya tendo hilo ukiwa na mawazo kuwa unaiba na hivyo daima utakuwa na wasiwasi. Jiepushe na uzinzi, kuwa na mmoja unayempenda, kama hamjaoana kaoe. Itakusaidia kuepukana na upuuzi wa kuwa rambaramba.

Ningeandika zaidi lakini, post yako haijakaa vema, sipendekezi kuwa tabia kama hizo... Nashauri jaribu kubadilika, muda unao, ukiamua unaweza!

Mkuu USIYEONEKANA<
Sikujua kama na huku kwenye "Uelimishaji Rika" umo. Nilidhani ni kwa akina nyamayao, chaku, mwanajamii one .. tuu..
duu big points!
 
Mambo vipi wana JF.

Naombeni ushauri wenu nilikuwa na demu wangu ambaye tulipendana sana ila siku moja ilitokea missunderstanding kati yangu na yeye ambayo ilisababisha mawasiliano baina yetu, hivyo kunipelekea mimi kutafuta demu mwingine wa kunipooza machungu

Chanzo cha haya matatizo yote ni huyu demu mwingine kwani alishawahi kuniambia endapo nitakuja kumwacha ataniloga niliamini hvyo kwn kuna cku moja nilimkuta na hirizi ambapo nilipomuuliza aliniambia alipewa alipokuwa anaumwa, nikamuuliza si umeshapona vp bado unayo akanipa maelezo ambayo hayakuniridhisha na hivyo kuamua kumuacha kwa kumwambia kuwa naomba muda wa kuwa peke yangu, akaniuliza kuwa niesharudiana na demu wangu wa awali, nikajibu hapana. Lakini ukweli ni kwamba nimerudiana na demu wangu.

Tatizo ni kwamba tangu nirudiane na huyu demu wangu nimekuwa nashinwa kwenda round tatu. Je, yawezekana yule demu ni kweli ameniloga? Nilishampiga stop kuwasiliana na mimi kwa kuhofia kunigombanisha na demu wangu, lakini kwa sasa natamani nimuombe msamaha kama ni yeye kweli lakini nashindwa jinsi ya kumuanza

So wana JF naombeni ushauri wenu kwani naumia kisaikolojia.
Acha kabisa habari za mademu mkuu, utaumia sana tu kisaikolojia. Concentrate na kujijenga kimaisha.
 
Hehehe duh Invisible umekuwa kama mama yetu mpendwa WOS sijui kajificha wapi.
 
imebidi nicheke tu...MJ1,Agika,Carmel,Msindima,VC jamani njooni mumpe kijana ushauri huku....
Yaani hii inachekesha zaidi. ah vijana wa siku hizi, eti anataka round tatu, na wakati kwenye kazi za kujenga taifa hawezi kutia nguvu yote hiyo. halafu aliyekwambia wanawake ni viumbe wa kupoozea machungu yako nani? umelikoroga mwenyewe linywe na ushindwee, usipende kuchezea wanawake wewe, acha kabisa.
 
Na utalogwa sana! Babu yangu aliniusia kuwa ukishaamini kulogwa hata kuku atakuloga.

Umenena mkuu,hivi kumbe kuna watu wanaamini kuna kulogwa eeee nawapa pole zao.

Jamani huyu jamaa vipi,na inavyoonekana hujaoa ukioa wewe hutakuwa mwaminfu kwenye ndoa yako maana ukikorofishwa tu kidogo utaenda kutafuta kipoozeo, hivi tabia gani hizi jamani?
We kaka mi nimekushangaa eti bao tatu, unafanyia sherehe? na lengo la hizo bao tatu ni nini? ili uonekane mwanaume wa shoka au?
Kaa jifikirie hayo unayofanya mwisho wake ni nini?
 
Yaani hii inachekesha zaidi. ah vijana wa siku hizi, eti anataka round tatu, na wakati kwenye kazi za kujenga taifa hawezi kutia nguvu yote hiyo. halafu aliyekwambia wanawake ni viumbe wa kupoozea machungu yako nani? umelikoroga mwenyewe linywe na ushindwee, usipende kuchezea wanawake wewe, acha kabisa.

Carmel yaani nimemshangaa sana huyu jamaa,nina wasi wasi sana na mwenendo mzima wa maisha yake.Unatia shaka sana.
 
Yaani hii inachekesha zaidi. ah vijana wa siku hizi, eti anataka round tatu, na wakati kwenye kazi za kujenga taifa hawezi kutia nguvu yote hiyo. halafu aliyekwambia wanawake ni viumbe wa kupoozea machungu yako nani? umelikoroga mwenyewe linywe na ushindwee, usipende kuchezea wanawake wewe, acha kabisa.

Just for my personal interest: Carmel we unapenda raundi ngapi?
 
Carmel yaani nimemshangaa sana huyu jamaa,nina wasi wasi sana na mwenendo mzima wa maisha yake.Unatia shaka sana.

Msindima upo mama? Habari za masiku. Nimekumiss upeo. Ulipotelea wapi?
 
huyu hajua anataka nini? na hivi amejua unaogopa kulogwa utalogwa sana
 
Mkuu kama unaishia round 3 na unataka round zaidi niPM nikupe mbinu achana na uchawi ingawa upo oooh kama ulisahau kufuri yako kwake basi mzee utakuja kushtukia unapiga nusu round nayo hufikishi unaishia 1/4 robo tu.
 
Mkuu kama unaishia round 3 na unataka round zaidi niPM nikupe mbinu achana na uchawi ingawa upo oooh kama ulisahau kufuri yako kwake basi mzee utakuja kushtukia unapiga nusu round nayo hufikishi unaishia 1/4 robo tu.

Mpwa usimpe maarifa hayo. Tutapata wapinzani wengi bana. Acha tufaidi peke yetu.
 
Back
Top Bottom