Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Why would a country like Iran allow such American spies in dispise of refugees penetrate his country?...... Even America is not ready to accommodate them immediately she Spread them in various nations, he fears them, so why shd a stable country like Saund Arabia welcome American stooges? Let US and her allies compelete their own making by rescuing them bcz spionage is crime in sharia law, that's the reason why their running away from their country.
 
Somalia je?
 
Du,hii kali[emoji2][emoji2] Lakini si wote hawapendi Mataifa yao,kulikuwa na Muslims ambao hawajachakachuliwa na Mataifa yao yalikuwa yenye furaha na Yenye maendeleo.Mbona umeacha mengine yaliyotulia na watu wake wanafuraha kama Saudia.
 
unfortunately the Islamic countries are as if they do not love each other.

A good example is the recent events from the Islamic countries even the sorry greetings did not give.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee
 
Du,hii kali[emoji2][emoji2] Lakini si wote hawapendi Mataifa yao,kulikuwa na Muslims ambao hawajachakachuliwa na Mataifa yao yalikuwa yenye furaha na Yenye maendeleo.Mbona umeacha mengine yaliyotulia na watu wake wanafuraha kama Saudia.
Wametulia kvp saudia ambapo kuna aharia za kuchinjana hadharani?!
 
Katika hili kuna unafiki mkubwa sana ,wanakimbia nchi zao ili kukwepa maisha ya sharia ,lakini wakifika huko wanataka kuishi maisha ya sharia !
Unajua kwanini wa nafanya hivo? Sio unafiki waislamu wengi wanalipiza kisasi kwa kuenda kwenye nchi za hao wa chochozi kueneza uislamu wanao pinga
 
Kama hawako happy kwajili yammarekani kwanin wanainjoy wakiwa marekan! Kule taliban wanatawala wenyewe nasharia ndio katiba ila bado hawako happy why?
 
Vita wengi wanaisikia tu ila hawaijui
Unapoona watu wanakimbia nchi ni kwa sababu ya ugumu wa maisha na sheria dhalimu

Kuna nchi watu wananyanyaswa ila wamekuwa kama misukule na hawajui haki zao
Uzwazwa upo na uzezeta upo na nchi nyingi zipo hivyo hata uonewe kiasi gani huwezi kujitetea

How do you treat refugees in Tz?
Serikali za wazungu zinampa kila mtu haki ya kufanya chochote mradi havunji sheria

Wakimbizi wanaopita kwetu angalia wanavyofanyiwa
Je wanapewa haki za msingi?
Wanafanywa kama majambazi waliovamia nchi ?

Hao watu wamepata shida huko walikotoka halafu badala ya kuwasaidia wanapigwa na kufungwa kama criminals
Sio udini bali ubinadamu tu

Na sisi hatuthamini foreigners au waliizaluwa kwetu
Na hii ni kwa sababu ya serikali zetu
 
Mkuu nakuelewa kwa argument yako hiyo suala sio dini ni ugumu wa maisha, uonevu udhalimu nk.
Tz ni nchi ya Amani na utulivu kwa mjibu wa CCM.....ila mlago ukifunguliwa yoyote anae taka kuondaka tz kama mkimbizi kuenda Ulaya US na Japan watakau wa kwanza kudadia ndege na kukesha uwaja wa ndege kusubiria usafiri watakua watoto wa viongozi na wasomi wetu, Tz inaweza ikabaki bila watu kwahiyo hamna haja ya kulaumu wa afghanistan [emoji1023]
 

Asante sana kwa kuliweka sawa
Nimeishi nchi nyingi sana na zingine zukiwa vitani kabisa na nimeshuhudia wakimbizi wakihangaika kutafuta maisha popote

Ukweli ni kwamba wengi hawajawahi kusafiri wala kuona watu wakipatwa na shida baada ya vita
Lakini wanakuwa wa kwanza kuwaonea na kuwasema vibaya

Leo yanayoendelea Afghan hata tz wakati wa uchaguzi tu watu huwa wanahaha na wengine kwenda Nairobi na kupima upepo yaani uchaguzi tu je vita ?

Tuwaombee tu na sisi tuombe yasije kutukuta ila kama itatokea kwetu pia ni kujifunza na huenda watu wangebadilika na misimamo yao ya kuwaita wahamiaji Haramu na badala yake kuwapa huduma na kuwasaidia kama ndugu zetu wa karibu

Africa ni moja ila tunachukiana sio kwa sababu ya dhiki hapana ni roho mbaya tu tuliyonayo

Mhabeshi wazazi wameuwawa labda na mke au dada zake wamebakwa na watoto kuchinjwa anakuja kuomba msaada unamuweka chini ya ulinzi na mapicha kibao
Hakuyataka huyo na Afghan pia hakuyataka
Na sisi tushukuru Mungu kwa so called Amani
 
Wewe umefanya Homework yako vizuri? Afghan ina raia wangapi jumla? mbona huzungumzi mamilioni walioamua kubaki?

Ebu fanya homework ujue kwanini watu hawawaamini hao Taliban. Katika maneno yao baada ya kuchukua nchi, walisema kuwa watafuata sheria za kiislam na kuachana na mila na tamaduni zao. Sasa kama wewe unajua vizuri basi utaelewa kwanini si rahisi kuwaamini.

Makafiri wanaingia nchi za watu kuziharibu halafu mnakuja kulalamika kwanini wanakimbilia nchi za kikafiri? Aliewahaibia wenzake maisha ndio atakaewahifadhi, watu hawataki ujinga.
 
Would you please cover your writing with some updates herein? The updates of happiness index particularly Arab countries
Ill Appreciate.
You are lucky my dictionary isn't here with me, I could've answered you😂 nadhani ndio anachofikiria kwa sasa huyo bwana
 
Kama hawako happy kwajili yammarekani kwanin wanainjoy wakiwa marekan! Kule taliban wanatawala wenyewe nasharia ndio katiba ila bado hawako happy why?
Mmarekani anasababisha machafuko kwa kuwauzia silaha (ambazo zinapelekea endless war) na kui downpress ideology yao, sasa hapo ni lazma nchi yao iwe chungu kukaa, wakienda america hakuna vita huko thus wana dwell peacefully.


Kuhusu muuzaji wa silaha si marekani peke yake, ila yeye ndio subject yetu hapa
 

The laziness of thinking coast you an energy and time to post newspaper
if u were smart enough u w'll think before is that said condition of muslims in their countries was there back in 1970 on backwards? if not what happens. that's where a man of good health brain starting than jumping with useless artical.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…