permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
You need to put things in their right perspective, having mentioned political instability in West Africa, you ought to have gone ahead stating that such instabilities are caused by militia Islamic groups fighting in the name of a desert god.Dispersion of people in West Africa is due to political instability.
It has nothing to do with religious matters especially Islamic religion.
Tunisia is not ruled by Islamic Sharia but people daily flee to western nations due to mass unemployment and poor social services due to poor governance.
Mokaze usitupotezee naomba dalili kutoka Quran zinazo sema eti Muhammad (saw) kwamba ni mtume wa mwisho kwa kuleta sheria tu sio viginevyo...........sijui nyie ma Qadian nani anawalipa kupotoshwa waislamu na Imani yao na kuidhalilisha.
Sasa unaona jinsi mnavo potosha waislamu nimekuomba utowe dalili yoyote katika Quran isemavyo kwa mtume ni wamwisho tu kwa ma nabii wa kuleta sharia kama nyie MaQadian/Ahmadiyya mnavo amini, unahamisha mada tena unasema wapizani wa Qadiani nyie ndo wapizani wa Uislamu, mmeva ngozi ya kundo kumbe nyie ni chui, mnaongopea watu kujifanya nyie miongoni mwetu kumbe sio.........Waislamu wengi tumesha jitambua tunawajua nyie Ahmadiyya/Qadiani ni Iblis na Dajjal, na ni fitina kumbwa katika Umma Muhammad (saw)Tatizo lako umeenda kunukuu wapinzani wa Jumuiya ya Ahmadiyya, itakuwa ni jambo la kijinga mtu asiyekuwa Muisilamu kunukuu Wapinzani wa Mtume mtukufu (saw) ili kutafuta ukweli wa Mtume (saw)---- wewe sasa ndiye mbumbumbu kwani nimekuambia mimi ni Muisilamu wa Ahmadiyya sasa kama unajua vyema Ahmadiyya na umesoma vitabu vilivyoandikwa na Waahmadiyya wenyewe njoo tujadiliane na sio kunukuu maandiko ya upotoshaji yanayotawanya kila uchao kudhoofisha Kazi kubwa inayofanywa na waisilamu Ahmadiyya kujenga taswira ya asili ya Uisilamu iliyoharibiwa na wapinzani wa Uisilamu na Waisilamu majahili wenye siasa kali.
Niambie.ni kitabu gani cha Ahmadiyya (Ahmadiyya publication ) ulichowahi kusoma wewe mwenyewe sio hivyo ulivyonukuu kutoka kwa wapinzani wetu.
Mpinzani ataandika jema lolote la hasimu wake??!
Mbona hiyo ch 33:40 sioni inapo sema kwamba mtume ni wa mwisho tu kwa kulete sheria.....mimi cijakuuliza maana ya neno khatama........tafuta unipe wapi Allah anamwambia mtume kwamba wewe ni wa mwisho kwa kuleta sheria ila ma nabbi wengine watakuja.......Au wewe leo unakana imani yako potofu kutoka katika (33:40 Qur'an) kwamba maneno جاتم النبيين sio mwisho wa manabii??!!, kwasababu kutokana na maneno hayo kueleweka vibaya kwamba ni mwisho wa manabii ndio maana Waisilamu wengi kimsingi kwakutojua maana ya neno "khatam" wanadai/mnadai kwamba utume umekoma katika dini ya uisilamu.
@makozi inaonekana wewe hujasoma hata hivyo vitabu vya Mirza mwenyewe ndo maana nilikuuliza wewe gurupu lako la Ahmadiyya nilipi?
Mirza wrote this, I sincerely sought for a serious explanation:
"Our prophet is the seal of the prophets and there cannot come another prophet after him."(Shahadatal Quran p. 27,28, Roohani Khazain volume 6 page 323, 324, Azala Auhaam p31).
Kama wewe sio mptoshaji tu prove me wrong hapo.
That's not really.You need to put things in their right perspective, having mentioned political instability in West Africa, you ought to have gone ahead stating that such instabilities are caused by militia Islamic groups fighting in the name of a desert god.
Siwezi kumkubari huyu Mirza wenu khazab, kaandika mambo mengi inao gongana aeleweki, katukana Nabi wa Allah Essa (as) kamdhalirisha mtume (saw) kwambe yeye (Ghulam) iko juu yake, mtu kame huyu sie Waislamu tuna mpinga na kumchukulia kua adui wa Ummah ya uislamu.Nikuulize, Kwa kauli hiyo ya Hadharat Ahmad (as) unakubali kwamba kasema kweli hivyo yeye ni mtu mkweli???
Ahmadiyya/Qadiani ni Iblis na Dajjal, na ni fitina kumbwa katika Umm
tafuta unipe wapi Allah anamwambia mtume kwamba wewe ni wa mwisho kwa kuleta sheria ila ma nabbi wengine watakuja.......
Umeenda mbali na hoja. Naona mada hujaelewa rudi kwenye hoja.
Nchi ina waislamu wamekuja waislamu wenzao na wametangaza hawana tatizo ila kutawala kwa kufuata kitabu kitukufu cha dini ya kiislam. Watu wanaanza kukimbia mpaka kudandia ndege.
Makafir wameonekana wana msaada sana kwa hao waislam kuliko ma Ayatolah na wengine wanaofuga midevu na kujidai wana dini saaaaana.
Anzia hapo kujadili hoja hayo mengine ni mada nyingine.
Nakuachia home work na log out.
Naomba tuelewane usitumie akili zako za kawaida kujibu masuali muhimu katika Uislamu sue waislamu hatuongee chochote bila kua na dalili....kama hilo la nabbi lime shidikana, nionyesha Wapi Mirza ghulam Qadiani a mebashiriwa kwenye hadeeth au Quran tukufu..........tatizo lenu Qadiani/Ahmadiyya hamnaga ushahidi mna potosha waislamu wasio jua dini yao kwasabb mnalipwa kwa hiyo kazi ya kugawanya wa uislamuNdiyo maana Nimesema hutakiwi uwe na jazba, hasira kwani mtume mtukufu alituasa; "Jiepusheni na ghadhabu" kwani ukiwa na ghadhabu basi hekima na busara huondoka kichwani na kubakia maneno machafu tu.
Kwa wewe kujiita Muisilamu ukiwa na kinywa kichafu hivyo inabidi aje nabii kusafisha vinywa veynu ili uisilamu uwe safi kutokana na takataka za vinywa vyenu.
"Ita katika njia ya mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri"--- hiyo ni Qur'an tukufu.
Wewe hivi unayo matatizo gani???
Unataka kumpangia Allah aseme hivyo unavyotaka wewe eti aseme:-- "wewe ni wa mwisho kuleta sheria ila manabii wengine watakuja---"
Hivi Allah huwa anapangiwa na mtu kitu cha kusema???[emoji1787][emoji1787]
Fungua akili yako, nasema hivi manabii wako wa aina mbili, wako wale waliokuja na sheria na wako wale wasiokuja na sheria, Mtume mtukufu Muhammad (saw) ni mtume aliyekuja na sheria ya MWISHO, Qur'an ni kitabu cha mwisho cha sheria kilichotoka kwa Allah kupitia kwa.mtume Muhammad (saw)----sasa mtu gani mwenye akili atapinga kuwa Nabii Muhammad (saw) ni nabii wa Mwisho wa sheria, sheria yake ya Qur'an itakwenda hadi siku ya Qiyama, hiyo ndio maana ya nabii wa mwisho wa sheria, ukipinga sio nabii wa Mwisho wa sheria maana yake anaweza kutokea nabii mwingine alete sheria mpya na dini mpya jambo ambalo litakwenda kinyume na Qur'an (7:35) ----- sasa hadi hapo utahitaji aya???[emoji1787]
Hadhrat Ahmad (as) Mwanzilishi wa jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya ni nabii wa kusoma/kufundisha Qur'an hivyo yeye anafuata sheria ya Qur'an yeye hana sheria mpya, yeye ni mtumishi wa Mtume Muhammad (saw), Muhammad (saw) is a master and Ahmad (as) is a slave in that regard.
Sijawahi kusoma kitu cha namna hi long time, esp hapa JF.They’re not happy in Gaza
They're not happy in Egypt
They're not happy in Libya
They're not happy in Morocco
They're not happy in Iran
They're not happy in Iraq
They're not happy in Yemen
They're not happy in Afghanistan
They're not happy in Pakistan
They're not happy in Syria
They're not happy in Lebanon
So, where are they happy?
They're happy in Australia
They're happy in England
They're happy in France
They're happy in Italy
They're happy in Germany
They're happy in Sweden
They're happy in the USA & Canada
They're happy in Norway & India
They're happy in almost every country that is not Islamic!
And who do they blame?
Not Islam...
Not their leadership...
Not themselves...
THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN!!
And they want to change the countries they're happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy
kamdhalirisha mtume (saw) kwambe yeye (Ghulam) iko juu yake
Naomba tuelewane usitumie akili zako za kawaida kujibu masuali muhimu katika Uislamu sue waislamu hatuongee chochote bila kua na dalili.
kama hilo la nabbi lime shidikana, nionyesha Wapi Mirza ghulam Qadiani a mebashiriwa kwenye hadeeth au Quran tukufu........
tatizo lenu Qadiani/Ahmadiyya hamnaga ushahidi mna potosha waislamu wasio jua dini yao kwasabb mnalipwa kwa hiyo kazi ya kugawanya wa uislamu
Maelezo mazuri mkuu naomba kuuliza.Ndiyo maana Nimesema hutakiwi uwe na jazba, hasira kwani mtume mtukufu alituasa; "Jiepusheni na ghadhabu" kwani ukiwa na ghadhabu basi hekima na busara huondoka kichwani na kubakia maneno machafu tu.
Kwa wewe kujiita Muisilamu ukiwa na kinywa kichafu hivyo inabidi aje nabii kusafisha vinywa veynu ili uisilamu uwe safi kutokana na takataka za vinywa vyenu.
"Ita katika njia ya mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri"--- hiyo ni Qur'an tukufu.
Wewe hivi unayo matatizo gani???
Unataka kumpangia Allah aseme hivyo unavyotaka wewe eti aseme:-- "wewe ni wa mwisho kuleta sheria ila manabii wengine watakuja---"
Hivi Allah huwa anapangiwa na mtu kitu cha kusema???🤣🤣
Fungua akili yako, nasema hivi manabii wako wa aina mbili, wako wale waliokuja na sheria na wako wale wasiokuja na sheria, Mtume mtukufu Muhammad (saw) ni mtume aliyekuja na sheria ya MWISHO, Qur'an ni kitabu cha mwisho cha sheria kilichotoka kwa Allah kupitia kwa.mtume Muhammad (saw)----sasa mtu gani mwenye akili atapinga kuwa Nabii Muhammad (saw) ni nabii wa Mwisho wa sheria, sheria yake ya Qur'an itakwenda hadi siku ya Qiyama, hiyo ndio maana ya nabii wa mwisho wa sheria, ukipinga sio nabii wa Mwisho wa sheria maana yake anaweza kutokea nabii mwingine alete sheria mpya na dini mpya jambo ambalo litakwenda kinyume na Qur'an (7:35) ----- sasa hadi hapo utahitaji aya???🤣
Hadhrat Ahmad (as) Mwanzilishi wa jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya ni nabii wa kusoma/kufundisha Qur'an hivyo yeye anafuata sheria ya Qur'an yeye hana sheria mpya, yeye ni mtumishi wa Mtume Muhammad (saw), Muhammad (saw) is a master and Ahmad (as) is a slave in that regard.
KabisaHizi sheria ni za kishwetani
@Mokaze kama wewe ni muislamu kweli kweli lazima ukubaliane na hadeeth za Mtume (saw).
Prophet Muhammad (saw) prophesied:
انه سيكون في أمتي كذابون ثلاثون كلهم يزعم أنه نبي و انا خاتم النبيين لا نبي بعدي.
"There will arise thirty liars in my Ummah. Everyone of them will claim to be a prophet. Though I am the last of the Prophets; there is no prophet to come after me." (Sahih Muslim).
Kwahiyo Mirza ghulam Qadiani wa Ahmadiyya alie dai kwamba pia ni nabbi baada ya Mtume (saw) ni muongo/batili/mfutinashaji tu, Mtume alisha tabili dini kama hizo za Ahmadiyya kutokea.
Huja dhibitisha lolote polojo tupu kama wa Qadiani mlivo, njia ya muongo ni fupi sana.........unaulizwa masuali unayakwepa.Kama hutaki mimi nitumie akili za kawaida je unataka nitumie akili za kichaa??!!----Allah ndiye aliyetupatia akili za kutafakari mambo yote ikiwa ni pamoja na aya za kitabu chake, hebu msikie Allah anasemaje;
و ما كان لنفس ان يومن إلا بإذن الله ويجعل الرجس على الذين لا يعقلون
Yaani; "Na hawezi mtu kuamini ila kwa idhini ya Allah naye huwapa adhabu wasiotumia AKILI" (10:100) Qur'an .
Unataka kujua ni wapi Hadhrat Ahmad (as) muanzilishi mtukufu wa jumuiya ya Waisilamu Wa Ahmadiyya amebashiriwa kwenye Qur'an na hadithi??--- Hilo ni swali jepesi sana, ila kabla sijajibu napenda kujua imani yako juu ya kuendelea kwa utume katika dini ya Uislamu, je utume inaendelea au laa??--- (napenda kwanza tuondie hicho kizingiti) ndipo tuje kwa Hadhrat Ahmad (as).
Kwanza nilisha kufundisha na inaonekana huelewi au unajifanya kutokuelewa, Sisi ni Waisilamu wa Ahmadiyya na sio Maqadiani, Qadiani ni jina la mji alipozaliwa MTUME Ahmad (as) mwanzilishi mtukufu wa jumuiya ya Waislamu Wa ahmadiyya.
Unasema hatuna ushahidi wa madai yetu na tunalipwa pesa ili kuwagawa Waisilamu, jibu ni kwamba ushahidi upo ndani ya Qur'an na hadithi ila.mnapoletewa ushahidi mnakuwa wagumu kukubali kwasababu ya chuki iliyomo ndani ya nyoyo zenu, chuki iliyopandikizwa na masheikh wenu dhidi yetu, hamtumii akili zenu binafsi kuupeleleza ukweli kutoka kwa sisi wenyewe bali mnahangaika kutafuta "ukweli" kutoka kwa maadui zetu, ni lini adui ya mtu akaeleza wema wa hasimu wake??!!
Kuhusu kulipwa fedha ili kuwagawa Waisilamu ; hayo ni muendelezo wa madai yenu ya Uongo wa kila siku dhidi yetu, kwa taarifa yako kila Ahmadiya orodha ya kipato chake cha kila mwezi kimeorodheshwa na anatakiwa katika kipato chake achangie michango zaidi ya mitano kulingana na kipato chake, ni kutokana na michango yetu ndivyo jumuiya hii inaendeshwa, ni uongo mkubwa kusema kwamba eti huwa tunapewa fedha ili kufanya shughuli zetu, common sense tu haikubali, kama ingalikuwa tunagawiwa fedha mbona jumuiya hii ingalikuwa ni jumuiya kubwa kwa idadi ya watu kuliko jumuiya zote duniani, kwani nani hapendi pesa tena za bure?!!---- tafadhali ndugu mulwanaka nenda katika tawi, mkoa au katika kituo chochote cha waisilamu-Waahmadiyya na uwe huru kuuliza kwa Mwalimu au shk nk, wewe mwenyewe ili upate ukweli, usisikikize habari kutoka kwa maadui ambao chuki na husuda inatafuna nyoyo zao kuona Ahmadiyya ikikua kwa haraka sana (Alhamdulillah).