Why People Say "Oh God!.. Oh God" Ooooohh During Sex

kuna mdada mmoja mwanasiasa alikuwa anataja majina ya marais akifika mzimuni, anaanza oooh mugabe ! mswatiiii! oooh obama! kibaaaaaaaaaaaki! museveniiiiiii! obaaaama , kikweeee kikweeeee kikweeeeeeeete! aaaaaarh. najua huamini lakini ni kweli.
 
Kuna jamaa anasema yeye kaamua kununua VUVUZELA akaweka chini kila akiko**oa anapiga pwaaaaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaaaaa pwaaaaaaaaaaaaaa sijui hii nayo inaitwaje\mapenzi kweli ayana adabu wakati unafikiria utanunua wapi vuvuzela siku ya simba na yanga watu wamekewa chini chumbani kupulizia wapenzi wao loh la hasha agatha wangu sijui nikupulizie nini

na wale wa nyumba ndogo inabidi tuwapulizie upupu kama wake zetu tunapulizia mavuvuzela
 


Red: hapo ndo mwake munama!!
 

Ha ha haaaa! JF kuna mabo uh sina mbavu hapa nilipo.
 
hapo kwenye red lol! tuko kinyumbani zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…