Na inawezekana,walipoachwa wasomi ktk nyadhifa za serikali kinyume na ilivyo sasa,ndo madili na upigaji ukakomaa wakifikiri ni biasharaKuna watu hawajali kabisa pesa, wanatumia taaluma zao kutengeneza vitu vinavyokuwa msaada mkubwa kwa jamii.
Educated people are struggle financially mkuu.Money ni commodity tu. Kiuhalisia unahitaji pesa kiasi endelevu cha kujikimu mahitaji muhimu ya kibinadamu, kuwa na pesa nyingii mtu mmoja ni ulimbikazaji wa rasilimali ambao sio sahihi, haiongezi furaha. Hivyo hao waliosoma wako sahihi wana pesa kiasi stahiki kutimiza mahitaji yao na familia zao.
Yapaswa kuwa na uwiano wa kipato katika jamii.kama uswidi na nordic countries ambapo kila mtu anapata mahitaji muhimu bila tatizo na gap la rich vs poor ni dogo sana.