Why! Result sleep za form four 2012 kucheleweshwa?

Gibrielly

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
23
Reaction score
1
Habari zenu wakubwa i think mko good at al
kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi nataka nitume maombi chuoni?
 
Habari zenu wakubwa i think mko good at al
kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi nataka nitume maombi chuoni?

kaulize result slips! sio sleep
 
aisee........ umeandika kama selule... results sleep haziwezi kuwa baraza, na hizo skull sijui ndio .........
 
Habari zenu wakubwa i think mko good at al
kinacho nishangaza mpaka mwezi march unaisha kila siku nikienda skull headmaster anaxema bado tatizo nini wana jf na mimi nataka nitume maombi chuoni?

Jitahii kutoandika kama una mtext best yako. unazungumzia mafuvu na usingizi. Hivi ndo form four eeh, wa mwaka huu eeh. Basi hamna shida vumilia tu utavipata hivyo, umeuliza shule zingine kama wao wamepewa usingizi wao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…