Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

hili andiko lisomwe kwa herufi kubwa na wale vilaza watanzania na baadhi ya wakenya waliokuwa wanadhihaki andiko la geza ulole kuhusu huyo MD.
Inakaa mwendo wa take over plan ya Vodacom by safaricom. EA Brew sasa wanamiliki Serengetibrew ila kipindi inanunuliwa Diageo ndo walinunua ila management coup ikafanywa Nairobi pale walipoachiwa uendeshaji wake, kuna umuhimu Serikali ya Tanzania kuwapiga Marufuku kampuni za Kiingereza kuwapa wakenya management ya kampuni za Kitanzania! lasivyo makampuni yetu yataendelea kuanguka kila siku! Mwingereza mwenyewe kamkimbia Mjerumani huko EU baada ya makampuni yake kukwapuliwa.
 
upo smart sana big up

naunga mkono hii hoja 100%
 
april 12, 2018 niliwahi kuandika jambo very sensitive hapa hapa katika hili bandiko.

baadhi ya watu walipuuza wakidhani mda wote tupo hapa jf kupiga porojo.

leo yametimia. viva tanzania
[emoji111]️ [emoji111]️[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122][emoji122][emoji122]
 
kaka nilikuelewa mda sana na hii kitu......na nilijua kabisa hii kitu must ifanyike....salute
 
TANELEC is 70% owned by transcentury which is a kenyan company, the reason why it is not doing so well is because facing stiff competition from chinese companies, the kenyan branch is only for distribution and not manufcturing, i knw this because they are my favorite clients
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…