Why some women stay single

duhhhhhhhhhhh ni nyani au mtu huyo? mwanume au mwanamke
 
Kudadadadadek hapo theory ya kunyoa inafanya kazi kweli? Unanyoa wapi unaacha wapi. Ila utashangaa kuna mademu wanamzimikia jinsi alivyo
 
Si ndio wenyewe wanaita Bustani la mapenzi!? kwa kiinglishi gadeni lavu... oh!
 
duh si mchezo. mshkaji anatudhihirishia kua ni kweli binadamu tumetoka kwa sokwe. e bwana eh
 
Mmmh mkuu hiyo njemba inatisha
Binafsi ningekuwa mwanamke nisingekubali kuolewa!
 
some women stay singe bcoz the singularity is near.................
OOOOOPSSSS......this must be an error during pregnant duuuuuu....mkuu...aaah
MMmmmmm....hii ni ngumu kumeza........daaaahhh..
 
mh!inatisha!i was really shocked!hii ni adobe,au mtu kweli?nooo
 
mh!inatisha!i was really shocked!hii ni adobe,au mtu kweli?nooo

Mazee hiyo ni real thing, jamaa anahitaji jembe la palizi aisee!!! cha kuchekesha zaidi, eti na yeye ame-shave kichwani!!!

Faidi uikute hiyo njemba imegaragazwa kwenye tope na hizo ngano mwilini

LOL!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…