Why the world is ignoring Congo (DRC) ! Si kweli Waafrika ndio tunapuuziana kwasababu Kujichukia

Why the world is ignoring Congo (DRC) ! Si kweli Waafrika ndio tunapuuziana kwasababu Kujichukia

Mr Chromium

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,761
Reaction score
3,835
Nikisikia hii kauli najiulizaga WTF?

Labda umesikia kauli kama hizi youtube, kwene website au social media

Lakini ukweli ni kwamba waafrica wengi na viongozi wengi ni kina TIP TIP

Asiejua historia Tip tip alikua kinara wakuuza wafrica wenzie kwa waarabu.

Mgogoro huu wa CONGO una miaka zaidi ya 30 ! Lakini waafrica na nchi za africa hazijali wala hawana habari.
Hata sanction tu wanafanya wazungu baada ya kuona wameua wamechoka sasa aibu inawaingia.

Kuna nchi yyte Africa ilisha wasaction viongoz wa makundi ya waasi?

Ni nadra sana usikie viongozi yyte wa Africa akiongelea ukweli wa kinachotokea KONGO.

Ukiacha rais wa CONGO ambae ametaja moja kwa moja na kuwatuhumu wanao ua raia wake kisa madini kwa kusingizia propaganda za kikabila.

Ni rais gani ushawai msikia akiongelea au akihutubia?

Labda utasema ni diplomasia

Ukiacha Tanzania,Malawi ,na south Africa zilizotuma wanajeshi wake kwenda kongo kuwaokoa raia kutoka kwene mikono ya mercenaries wa kikoloni wanaotumiwa kuua waafrica wenzao.

Nchi nyingi hazina hata mpango wala kujihusisha na hili.

waafrica mastaa au watu maarufu nao wako kimya wala hawajishuhulishi lakini cha ajabu hawa hawa ambao jirani zao tu waafrica wenzao wanachinjwa kama kuku ndio kila siku wako na FREE PALESTINA

si vibaya ila kama kwako kunaungua utaenda kuzima moto wa jiran kabla kuanza na kwako.

Nchi hizi hazijawai kua na msaada
Kenya
Angola
Botwasana
madagascar
zambia
zimbabwe
somalia
congo blazavile
Namibia
Swaziland
Lesotho

Wala wasanii wakubwa wa africa hawana msaada ni nadra sana ukikuta wameungana kupiga kelele.

Ishu ya Palestina waarabu wote wameungana, boycote,wasanii wote,marais wote atleast ndio maana na dunia imeunga mkono.

Lakini kama nyie hamna muamko wala hamjali hamna dunia itayojali.KUFENI TU

View: https://youtu.be/QEV81neF6ew?si=XMmqyKUBH8e9o3Cg

TOPIC
Why the world is ignoring Congo (DRC) ! Si kweli Waafrica ndio tunapuuziana kwasababu Kujichukia.
 
WaAfrica wenyewe ndio hawa mashabiki wa Iran na Israeli.

Mwafrica huwa ni slave tu by nature.

Dini mbili Christian na Muslim zimekuwa dini zetu na pia tumeamua kuwaabudu waliozileta na sio vitabu hasa pale vinapokataza mabaya na kuamrisha mema na kumcha Mwenyezi Mungu.
 
WaAfrica wenyewe ndio hawa mashabiki wa Iran na Israeli.

Mwafrica huwa ni slave tu by nature.

Dini mbili Christian na Muslim zimekuwa dini zetu na pia tumeamua kuwaabudu waliozileta na sio vitabu hasa pale vinapokataza mabaya na kuamrisha mema na kumcha Mwenyezi Mungu.
Kuna shida kubwa kwa muafrica
 
Nikisikia hii kauli najiulizaga WTF?

Labda umesikia kauli kama hizi youtube, kwene website au social media

Lakini ukweli ni kwamba waafrica wengi na viongozi wengi ni kina TIP TIP

Asiejua historia Tip tip alikua kinara wakuuza wafrica wenzie kwa waarabu.

Mgogoro huu wa CONGO una miaka zaidi ya 30 ! Lakini waafrica na nchi za africa hazijali wala hawana habari.
Hata sanction tu wanafanya wazungu baada ya kuona wameua wamechoka sasa aibu inawaingia.

Kuna nchi yyte Africa ilisha wasaction viongoz wa makundi ya waasi?

Ni nadra sana usikie viongozi yyte wa Africa akiongelea ukweli wa kinachotokea KONGO.

Ukiacha rais wa CONGO ambae ametaja moja kwa moja na kuwatuhumu wanao ua raia wake kisa madini kwa kusingizia propaganda za kikabila.

Ni rais gani ushawai msikia akiongelea au akihutubia?

Labda utasema ni diplomasia

Ukiacha Tanzania,Malawi ,na south Africa zilizotuma wanajeshi wake kwenda kongo kuwaokoa raia kutoka kwene mikono ya mercenaries wa kikoloni wanaotumiwa kuua waafrica wenzao.

Nchi nyingi hazina hata mpango wala kujihusisha na hili.

waafrica mastaa au watu maarufu nao wako kimya wala hawajishuhulishi lakini cha ajabu hawa hawa ambao jirani zao tu waafrica wenzao wanachinjwa kama kuku ndio kila siku wako na FREE PALESTINA

si vibaya ila kama kwako kunaungua utaenda kuzima moto wa jiran kabla kuanza na kwako.

Nchi hizi hazijawai kua na msaada
Kenya
Angola
Botwasana
madagascar
zambia
zimbabwe
somalia
congo blazavile
Namibia
Swaziland
Lesotho

Wala wasanii wakubwa wa africa hawana msaada ni nadra sana ukikuta wameungana kupiga kelele.

Ishu ya Palestina waarabu wote wameungana, boycote,wasanii wote,marais wote atleast ndio maana na dunia imeunga mkono.

Lakini kama nyie hamna muamko wala hamjali hamna dunia itayojali.KUFENI TU

View: https://youtu.be/QEV81neF6ew?si=XMmqyKUBH8e9o3Cg

TOPIC
Why the world is ignoring Congo (DRC) ! Si kweli Waafrica ndio tunapuuziana kwasababu Kujichukia.

Nchi ya kenya haina msaada wowote Africa
 
Kenya haijawai saidia nchi yyte kupata uhuru wala kusaidia kulinda amani wala kupeleka wanajeshi wake DRC

Last time wamepeleka wanajeshi DRC wanajeshi wakenya ndio wakawa part of m23!!
Hawa watu sio kabisa
 
Mgogoro wa DRC utamalizwa na wao wenyewe. Hiyo ni vita vya wao Kwa wao (Civil war), chamsingi ni wao kukaa mezani kujadiliana in mutual Agreement Ili kumaliza mzozo huu
 
Hakuna taifa lolote duniani ambalo litakuja uhakika wa usalama wako,isipo kuwa wewe mwenyewe ndo unabeba dhamani ya usalama wa taifa lako.

Vita ya Congo inapaswa kumalizwa na Wacongo wenyewe,na sio nguvu kutoka nje ni upumbavu kuamini kwamba ufanye upumbavu,alafu aje mtu kukusaidia sababu ya upumbavu wako.
 
Hakuna taifa lolote duniani ambalo litakuja uhakika wa usalama wako,isipo kuwa wewe mwenyewe ndo unabeba dhamani ya usalama wa taifa lako.

Vita ya Congo inapaswa kumalizwa na Wacongo wenyewe,na sio nguvu kutoka nje ni upumbavu kuamini kwamba ufanye upumbavu,alafu aje mtu kukusaidia sababu ya upumbavu wako.
Mkuu inaonekana huelewi mfumo wa vita ya DRC!!
Dunia nzima iko pale
Kwa uchumi wa chin ya B70 wanaweza kufanyaje sasa??
 
Mgogoro wa DRC utamalizwa na wao wenyewe. Hiyo ni vita vya wao Kwa wao (Civil war), chamsingi ni wao kukaa mezani kujadiliana in mutual Agreement Ili kumaliza mzozo huu
DRC hawana civil war
 
Back
Top Bottom