ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,161
- 1,476
Wakuu,
Ningependa kupata maelezo mepesi zaidi nielewe kwa nini Tshs yetu inazidi kuwa weak kulingalisha na Currency zingine duniani?
Je hii inasababishwa na nini hasa? Mimi sina elimu ya mambo ya uchumi lakini navyojua kidogo ni kwanza tunaagiza bidhaa zaidi (importations) kuliko kuuza nje (Exportation), kwa maneno mengine ration ya import na export si sawa.
Mf. Tshs against USD ilikuwa 1200 - lakini sasa ni karibia 1450, hii inatisha.
1. Je hakuna linaloweza kufanyika kuiweka Tshs yetu iwe stable? wenzetu wa kenya inafanyikaje Tshs yao kuwa so stable?
2. Je hatuwezi ku Control importations ratio ikawa sana na exportation ili kuzuia
fluctuation ya Tshs yetu? kuna athari zipi tukifanya hivi?
3. Je Devaluation ya Tshs inauhusiano na ukuaji wa uchumi? nasikia uchumi wetu umekuwa lakini bado unaona Tshs ina zidi kuwa weak na hali ya maisha inazidi kuwa mangumu.
4. Je kuna uhusiano wa kuporomoka kwa Tshs kuhusishwa na na mambo ya kisiasa?
5. Niambieni Role ya BOT kuhusiana na kuporomoka kwa Tshs, Exportation na Importaion ration
Bado nahitaji maelezo mengine mazuri na mepezi zaidi sababu nikisoma sipati maelezo yanayojitosheleza, kwa wale wachumi hebu nifungueni macho.
Ningependa kupata maelezo mepesi zaidi nielewe kwa nini Tshs yetu inazidi kuwa weak kulingalisha na Currency zingine duniani?
Je hii inasababishwa na nini hasa? Mimi sina elimu ya mambo ya uchumi lakini navyojua kidogo ni kwanza tunaagiza bidhaa zaidi (importations) kuliko kuuza nje (Exportation), kwa maneno mengine ration ya import na export si sawa.
Mf. Tshs against USD ilikuwa 1200 - lakini sasa ni karibia 1450, hii inatisha.
1. Je hakuna linaloweza kufanyika kuiweka Tshs yetu iwe stable? wenzetu wa kenya inafanyikaje Tshs yao kuwa so stable?
2. Je hatuwezi ku Control importations ratio ikawa sana na exportation ili kuzuia
fluctuation ya Tshs yetu? kuna athari zipi tukifanya hivi?
3. Je Devaluation ya Tshs inauhusiano na ukuaji wa uchumi? nasikia uchumi wetu umekuwa lakini bado unaona Tshs ina zidi kuwa weak na hali ya maisha inazidi kuwa mangumu.
4. Je kuna uhusiano wa kuporomoka kwa Tshs kuhusishwa na na mambo ya kisiasa?
5. Niambieni Role ya BOT kuhusiana na kuporomoka kwa Tshs, Exportation na Importaion ration
Bado nahitaji maelezo mengine mazuri na mepezi zaidi sababu nikisoma sipati maelezo yanayojitosheleza, kwa wale wachumi hebu nifungueni macho.