Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
kwani wewe ulilipia wakati wa kujiunga
Yale mabasi sio ya chuo, ni huduma iliyo andaliwa ili kurahisishia wanafunzi usafiri. Badala ya kutembea muda mrefu na kugombea basi..linakufuata hapohapo chuoni na unachangia kiasi kile kile....
nahisi ni aidia nzuri sijui wewe unaionaje?
wafanye free....uongozi wa chuo ndo walipie... mabasii
kwani ulilipia fedha ya usafiri wakati unajiunga na chuo ndugu...
wafanye free....uongozi wa chuo ndo walipie... mabasii
chezea shuttle wewe hata ma sisterdo wanagombania hahahahhhhh:A S 11:
kwani yale mabasi yana plate number za SU/STK? hiyo ni tenda tu watu walipewa kusuply service kwa wanachuo.
first yr huhitaji kumuuliza,unaonekana tu. Cjui upo course gani ila ukibahatika kusoma ba.pspa mkandala atakufundisha kuhusu out-sourcing ambayo ina lengo la kupunguza complexicity or centralisation.